Yani humu ndani kila mtu ni mkubwa , una mambo wewe kama ebitoke yani ushamba na ukubwa mnataka pension ya ulazima [emoji23][emoji23][emoji23] uzee ni wa kukimbiaHebu kuwa na heshima unapojibizana nami wewe ndio lugha gani watoto wa 2000 mna tabu sana
Kwa hiyo mpendwa unaona tunalingana kiumri Yaani labla mdogo wangu wa mwisho mnaweza kuwa sawaYani humu ndani kila mtu ni mkubwa , una mambo wewe kama ebitoke yani ushamba na ukubwa mnataka pension ya ulazima [emoji23][emoji23][emoji23] uzee ni wa kukimbia
Itabidi tuombe mods watoe option ya delete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa anaweka ila sasaaaaa kuziona inahitaji mtu uwe JF tena kwenye huu uzi masaa 24 usifanye shughuli nyingine maana haujui siku wala saa ambayo ataweka picha,, na akiweka ndiyo haikai hata sekunde mbili kwahiyo hata akikutag kwenye hiyo picha hadi uje uone notification uifungue bado utaikosa tu.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tufanye mimi ni mdogo nitakua nakupa shikamoo ili nafsi yako ifurahiKwa hiyo mpendwa unaona tunalingana kiumri Yaani labla mdogo wangu wa mwisho mnaweza kuwa sawa
Fanya sahivi nibahatike sasa, nione na hilo umbo nianze jipimia shikamoo au marahabaHujabahatika tu mpendwa naweka sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilisikia tu save your sorry aluuuuu[emoji24][emoji24] nikatoka mbio.nikajua nimeharibu mood ya mtu, [emoji16][emoji16]ua the best friend to keep a good heart girl [emoji66] unaanzaje kuwa mkorofi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti kakitambi ka kufutia Simu umenichekesha asubuhi hii mpendwa [emoji1][emoji1][emoji1]
Inaanza mda huu hiyo shikamoo nasubiriSawa tufanye mimi ni mdogo nitakua nakupa shikamoo ili nafsi yako ifurahi
Dear kwa hili unanionea kiongozi ni Atoto[emoji1]
[emoji487][emoji487] Nitakutumia pizza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baba paroko, ili yaishe naomba zawadi ya Christmas mimi
Shikamoo mpendwa, nasubiri pichaInaanza mda huu hiyo shikamoo nasubiri
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona baba paroko siku hizi anafutia simu kwa kakitambi dear!
Hahaha nimecheka....Sasa Emay picha si uliona? Ulitaka ikae mpaka saa ngapi na vile haikuwa hata na Emojhuu uzi nyt nyt unapendeza ila sasa kabla hujakaa sawa vitu vinaevaporate kwa kasi ya hamna
watu wako na speed hiyo hahah yaan fyuuum fyuuum
Depal mdogo wangu nakusalimia, haujambo?
Itabidi tuombe mods watoe option ya delete
Hivi ndio uliniacha soremba?Amkeni mkasali jumuia
MTC | 101| [emoji769]
Utetesi uzi si bure kuna picha niliweka sikuwahi kufuta ipo hadi leo pia ya jana sikufuta ipo mpendwaWeee tena huyo ndiyo usimtaje kabisa,, kwanza ukimuomba wala haringi ataweka na akiweka akikutag hafuti hadi wewe aliyekutag uione labda kama amekutag na ukakaa siku mbili haujatokea.. ila wewe sasaaa mmhh hadi unatufanya tuanze kudhani labda mwenzetu unafanana na Cleopatra [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] (natania)
Sent using Jamii Forums mobile app
Malahabaaaaa hujamboShikamoo mpendwa, nasubiri picha
Sikulagii jamani[emoji487][emoji487] Nitakutumia pizza