huwa anaweka ila sasaaaaa kuziona inahitaji mtu uwe JF tena kwenye huu uzi masaa 24 usifanye shughuli nyingine maana haujui siku wala saa ambayo ataweka picha,, na akiweka ndiyo haikai hata sekunde mbili kwahiyo hata akikutag kwenye hiyo picha hadi uje uone notification uifungue bado utaikosa tu..
Weee tena huyo ndiyo usimtaje kabisa,, kwanza ukimuomba wala haringi ataweka na akiweka akikutag hafuti hadi wewe aliyekutag uione labda kama amekutag na ukakaa siku mbili haujatokea.. ila wewe sasaaa mmhh hadi unatufanya tuanze kudhani labda mwenzetu unafanana na Cleopatra
Weee tena huyo ndiyo usimtaje kabisa,, kwanza ukimuomba wala haringi ataweka na akiweka akikutag hafuti hadi wewe aliyekutag uione labda kama amekutag na ukakaa siku mbili haujatokea.. ila wewe sasaaa mmhh hadi unatufanya tuanze kudhani labda mwenzetu unafanana na Cleopatra