Yani una bahati mbaya sana sana kuna kitubio lakini huwa natubu yakishakuangukia... Yani wewe ni mfano halisi wa hilo bango hahahahahh pole Sakayo wangu
Yani una bahati mbaya sana sana kuna kitubio lakini huwa natubu yakishakuangukia... Yani wewe ni mfano halisi wa hilo bango hahahahahh pole Sakayo wangu
huwa anaweka ila sasaaaaa kuziona inahitaji mtu uwe JF tena kwenye huu uzi masaa 24 usifanye shughuli nyingine maana haujui siku wala saa ambayo ataweka picha,, na akiweka ndiyo haikai hata sekunde mbili kwahiyo hata akikutag kwenye hiyo picha hadi uje uone notification uifungue bado utaikosa tu..