Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila ngoja tu niupotezee huu uzi kama ambavyo nilikuwa siupi kipaumbele zamani ngoja niachane nao,maana siku ukisema uchungulie unakuta mtu ndio kama kajichetua kisha kashafuta, kama mizinguo flani tu hv
Kabla huja uzira hu uzi, Ukitaka Kuenjoy ni nipe nikupe! Haya twende kazi!
 
Nipe leo kisha mi next time,ukichomoa ndo yale yale tu bora nichape lapa
Hiyo ni void! Weka niweke thats how we go..
Huu uzi uenda una watu wake maalumu wengine tumedandia treni kwa mbele,mwisho tutagongwa bure tujifie
Huu uzi ni wa kila mtu kama ulivyo wa usiku wa manane! Ndiomaana unakutana na kila aina za watu, ukiamua kuji isolate ni wewe tu ila haujaundiwa watu fulani! Kila mtu anakuja na kuondoka, kwa hivyo kuwa na amani tu mkuu!
 
Hiyo ni void! Weka niweke thats how we go..

Huu uzi ni wa kila mtu kama ulivyo wa usiku wa manane! Ndiomaana unakutana na kila aina za watu, ukiamua kuji isolate ni wewe tu ila haujaundiwa watu fulani! Kila mtu anakuja na kuondoka, kwa hivyo kuwa na amani tu mkuu!
Upo sahihi ila siku zote hakuna ninachoambulia yani ni kama kamari vilešŸ˜‚šŸ˜‚

Muda sio mrefu umetoka kutupia nimekosa muvi,now nipo hapa nakwambia utupie hutaki,je nikiwa sipo si ndio kabisa aaah nachoka miešŸ˜‚šŸ˜‚
 
Msukuma utampata na atakuweka kisawasawa ila smart usimgawe yeye awepo tu tumeshawazoea tayari😁
Nasubiri kusukumwa kwahamu kubwaaašŸ˜„šŸ˜„

Smart mi hapana hapana aseee amenishinda tabia Hauna nduguyo nimpasie wasogeze life☺☺???
 
Msukuma utampata na atakuweka kisawasawa ila smart usimgawe yeye awepo tu tumeshawazoea tayari😁
Nasubiri kusukumwa kwahamu kubwaaašŸ˜„šŸ˜„

Smart mi hapana hapana aseee amenishinda tabia Hauna nduguyo nimpasie wasogeze life☺☺???
 
Upo sahihi ila siku zote hakuna ninachoambulia yani ni kama kamari vilešŸ˜‚šŸ˜‚

Muda sio mrefu umetoka kutupia nimekosa muvi,now nipo hapa nakwambia utupie hutaki,je nikiwa sipo si ndio kabisa aaah nachoka miešŸ˜‚šŸ˜‚
Wasiwasi wako ndio enjoyment yetu humu broski! We ukitaka unanitag na picha nami nakubless biashara tunaifunga! Ukitaka ya kwako iwasubirie waja hayaa! Ila binafsi sisubiri mtu, asiyekuwepo na lake halipo!šŸ˜Ž

Welcome to the clan!
 
Wasiwasi wako ndio enjoyment yetu humu broski! We ukitaka unanitag na picha nami nakubless biashara tunaifunga! Ukitaka ya kwako iwasubirie waja hayaa! Ila binafsi sisubiri mtu, asiyekuwepo na lake halipo!šŸ˜Ž

Welcome to the clan!
Kuna masharti humu kama kwa mganga daadeki, anyways naona cha msingi ni kublesiana tu,maana nikisubir napitwa daily

Ntakusurprise
 
Back
Top Bottom