min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,587
- 164,827
Utanishonea mojaNdio
Utanishonea mojaNdio
Halafu hiyo seroo inatokana na nini mtoto wa chuo wewe?Hamna bwana Seroo namaanisha ninachokisema.
NdioWewe unajiona sio mrembo? Toa point kuu 6 kwanini wewe sio mrembo.
Aya utanipa copy ya design utakayo ..Utanishonea moja
Nunua vifaa basi tupige kaziNdio 😎
SawaAya utanipa copy ya design utakayo ..
Itabidi nione kichwa chako kupata... accurate measurement
Na deposit ya kununua nyuzi aafu tutapigiana bei....
hahaa ingekuwa ni graded essay hapa ungepata zero🤣 unaambiwa uelezee sifa za mwanamke mbaya unaelezea za mwanamke mzuriHalafu hiyo seroo inatokana na nini mtoto wa chuo wewe?
Ndio
1. Nina mashavu kama napuliza moto😝
2. Mfupi
3. Keusii tii🌚
4. Napigana ngumi huyoo⚔️🤸🏽♂️
5.siwezi kuongea kama binti naongea kama konda
6. Nakula miwa barabarani🙆🏽♀️
4✅Halafu hiyo seroo inatokana na nini mtoto wa chuo wewe?
Ndio
1. Nina mashavu kama napuliza moto😝
2. Mfupi
3. Keusii tii🌚
4. Napigana ngumi huyoo⚔️🤸🏽♂️
5.siwezi kuongea kama binti naongea kama konda
6. Nakula miwa barabarani🙆🏽♀️
Tunajifunzia wapi kwanza, mi sipendi kuwe na watu wengi 😎Nunua vifaa basi tupige kazi
Pa kunipata unajua sio?Tunajifunzia wapi kwanza, mi sipendi kuwe na watu wengi 😎
Hayo ndo maneno sasa 😎😁Pa kunipata unajua sio?
Kichwa chake nakutumia pm🤣Aya utanipa copy ya design utakayo ..
Itabidi nione kichwa chako kupata... accurate measurement
Na deposit ya kununua nyuzi aafu tutapigiana bei....
Basi fanya correction..😁hahaa ingekuwa ni graded essay hapa ungepata zero🤣 unaambiwa uelezee sifa za mwanamke mbaya unaelezea za mwanamke mzuri
Sawa mshamboo!🤸🏽♂️Seroo ni jina nililokubatiza.
Kichwa kipi tena😅Kichwa chake nakutumia pm🤣
Tena kama we nakutamani🫢
😋😋Tena kama we nakutamani🫢
Uzuri ninavyo vyote! Wacha akajichagulie binti yangu😎Kichwa kipi tena😅