Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hamna bwana Seroo namaanisha ninachokisema.
Halafu hiyo seroo inatokana na nini mtoto wa chuo wewe?
Wewe unajiona sio mrembo? Toa point kuu 6 kwanini wewe sio mrembo.
Ndio
1. Nina mashavu kama napuliza moto😝
2. Mfupi
3. Keusii tii🌚
4. Napigana ngumi huyoo⚔️🤸🏽‍♂️
5.siwezi kuongea kama binti naongea kama konda
6. Nakula miwa barabarani🙆🏽‍♀️
 
Halafu hiyo seroo inatokana na nini mtoto wa chuo wewe?

Ndio
1. Nina mashavu kama napuliza moto😝
2. Mfupi
3. Keusii tii🌚
4. Napigana ngumi huyoo⚔️🤸🏽‍♂️
5.siwezi kuongea kama binti naongea kama konda
6. Nakula miwa barabarani🙆🏽‍♀️
hahaa ingekuwa ni graded essay hapa ungepata zero🤣 unaambiwa uelezee sifa za mwanamke mbaya unaelezea za mwanamke mzuri

Seroo ni jina nililokubatiza.
 
Back
Top Bottom