Fantasy Yako
JF-Expert Member
- Jun 29, 2026
- 383
- 970
😂😂 kila mtu ana file chafu la mwenzakee .. tuwashe moto tuuuWanaogopana ila 8/8 hawafiki lazima wakiwashe..!! 😹
😂😂 kila mtu ana file chafu la mwenzakee .. tuwashe moto tuuuWanaogopana ila 8/8 hawafiki lazima wakiwashe..!! 😹
Wacha weeh!! 😍😍😅😅 hii enzi nipo udogoni, sina picha ingine humu sikaagi na vizibitiView attachment 3622733
Njoo nikukojolee nilale 🥲
Kamkojolee aliyekukojoa matako yako..!!
😂😂😂 Sasa hivi nataka ziacha nywele niwe na Tundu Lissu stylez nilikuwa na zaidi ya zile mwaka juzi nikapata mshangazi ukanidanganya nikanyoa vi dred vyangu alafu akaniachaaa 🤣🤣 ila wadada nyie Mungu anawaonaWacha weeh!! 😍😍
Likaka lizuri la mwaka wa mbele..!!
Huo uchebe sasa awwww 🔥🔥
Unakuja kwa babu miga hafu unakataa..!!
Ukitokea kwa pembeni km Max vile..!!
Acha tu 😹😹😹😂😂 kila mtu ana file chafu la mwenzakee .. tuwashe moto tuuu
😅😅 ila jf ikifika kipindi cha minyukano mod huwa wanakuwa na mitihani sanaaa .. na kazi ya ziada, maana watu huwa wanamwagika kama nyuki kila konaAcha tu 😹😹😹
Raha waanze wenyewe, tukianza sisi tutaonekana wachokozi..!!
😹😹😹 Mshangazi Una roho mbaya huo, unakushauri ukate dred ili akupige chini ubaki na memories zake..!!😂😂😂 Sasa hivi nataka ziacha nywele niwe na Tundu Lissu stylez nilikuwa na zaidi ya zile mwaka juzi nikapata mshangazi ukanidanganya nikanyoa vi dred vyangu alafu akaniachaaa 🤣🤣 ila wadada nyie Mungu anawaona
😅😅 na tokea kipindi kile sijawai pata style kama ile , maana nilitunza nywele kila wiki zilikuwa zinapigwa vitu vya maana so zilikuwaa nyeusiii hatari alafu zang'aaa ile mbayaaa ila ndio ivyo nikajaa kwenye mfumoo shwaaaa kama alitumwaa vile😹😹😹 Mshangazi Una roho mbaya huo, unakushauri ukate dred ili akupige chini ubaki na memories zake..!!
Na mimi lazima nipewe ban 😹😹😅😅 ila jf ikifika kipindi cha minyukano mod huwa wanakuwa na mitihani sanaaa .. na kazi ya ziada, maana watu huwa wanamwagika kama nyuki kila kona
Pole, mshangazi ulaaniwe huko ulipo..!! 😹😹😅😅 na tokea kipindi kile sijawai pata style kama ile , maana nilitunza nywele kila wiki zilikuwa zinapigwa vitu vya maana so zilikuwaa nyeusiii hatari alafu zang'aaa ile mbayaaa ila ndio ivyo nikajaa kwenye mfumoo shwaaaa kama alitumwaa vile
😅😅😅Na mimi lazima nipewe ban 😹😹
Wakati hata ugomvi haunihusu khaaaa..!!
Ban za 2023 zile siji kusahau, nilipewa peke yangu kwenye ugomvi.. baadaye nikarudishwa..!!
Baada ya dakika nikafungiwa kukoment selfika, dakika 15 wakanirudisha eeehh ugomvi ukahamia kwa mods, tukawachamba mods na kina coca na Saint Anne mods wakawa wanafuta sisi tunawachamba.. 😹😹😹
Tukafirushwa woteeee na Uzi ukafungwa 😹😹😹
Tulikaa miezi mshana akaanzisha mwingine wa “Umevaaje leo” kule tukaanza tena midomo tukapewa ban tusichangie uzi.. watu wakarudi na maparody ukafungwa..!! 😹😹
😍😍😍
Hulali?😍😍😍
Code za leo 🔥🔥🔥
Na hilo ganda uliloshika nipe nikusaidie kukutunzia..!! 😹😹😹
Tuko zone tofauti lala wewe 😹😹Hulali?
😁😁😁 ndio naingia ndani kulala dah ..😍😍😍
Code za leo 🔥🔥🔥
Na hilo ganda uliloshika nipe nikusaidie kukutunzia..!! 😹😹😹
leo ni humu tu magethoniMjifungia hata kuselfika?