Fantasy Yako
JF-Expert Member
- Jun 29, 2026
- 383
- 973
π weekend bila totoz nzuri hainogi, inakosa kiungo muhimu kabisaHahahaha
Nimeokokaπ weekend bila totoz nzuri hainogi, inakosa kiungo muhimu kabisa
πΉπΉπΉ Hatari sana..!!π π π π
eeeh! na mkikubaliana mkikutana mnafanya tu kama hamjuani yani.. kitawakia home mtapo rudi ila mkiwa hotel nikupeana tu mambo hadi paweka moto
Nitajie basi na wewe khaaaa..!! πΉπΉπΉππ Utamu paka kisogoni , utamu unao kelaaa.. mtoto anajua mambooo lol! kama kazaliwa spaniolaaaa kwa mahaba yake
π π Ukikaaa vibaya unarudiana na usie mtakaaaπΉπΉπΉ Hatari sana..!!
Humu kukaa kimasta sana..
π π π ulitakiwa kumteka Engineer ambae aliamua kujimaliza na kujiteketezaaNitajie basi na wewe khaaaa..!! πΉπΉπΉ
Nataka awe kungwi wangu na mimi nimteke kibaka mmoja humu..!!
hahaha! una sali wapi na nije okokaNimeokoka
πΉπΉπΉ Ikitokea nitacheka sana..!!π π Ukikaaa vibaya unarudiana na usie mtakaaa
ππ makoloni ya nje ndio haya haya ya humu, sema humu watu wakiingia wana chachukaaa kisa hawaonekaniπΉπΉπΉ Ikitokea nitacheka sana..!!
Sema sina koloni humu..
Engineer analeta wivu hata barua yake sijajibu πΉπΉπΉπ π π ulitakiwa kumteka Engineer ambae aliamua kujimaliza na kujiteketezaa
πππ ungemtunzia madhaifuu tuu, mgezaa na vitoto vinajua mahesabuu hatarii ..Engineer analeta wivu hata barua yake sijajibu πΉπΉπΉ
Koloni langu la nje hata lifanyaje haliwezi kunijua humu.. πΉπΉππ makoloni ya nje ndio haya haya ya humu, sema humu watu wakiingia wana chachukaaa kisa hawaonekani
ππ kuna siku unashika simu yake, malaaa paaap linaomba lije PM yakee.. au ndio unakuta ndio anaetumia ID ya mzabazab mwanawaneeeKoloni langu la nje hata lifanyaje haliwezi kunijua humu.. πΉπΉ
Kuzaa tena? πΉπΉπππ ungemtunzia madhaifuu tuu, mgezaa na vitoto vinajua mahesabuu hatarii ..
ππ kuzaa na mwana Jf ndio fantasy yangu kubwa imebakii sijui nani atajichanganyaaaaa π€£π€£π€£.. mngezaa tu sasa hii katoto kangekuwa katambaaaKuzaa tena? πΉπΉ
Yule mkaka mkorofi anaonekana, halafu muhaya na mkinga lazima tungeshindwana..!!
πΉπΉπΉ Mzabmzab akiwa ndio koloni langu mbona naweza kulia kwa mambo yake ya humu..!!ππ kuna siku unashika simu yake, malaaa paaap linaomba lije PM yakee.. au ndio unakuta ndio anaetumia ID ya mzabazab mwanawaneee
Uzae na mwana JF πΉπΉππ kuzaa na mwana Jf ndio fantasy yangu kubwa imebakii sijui nani atajichanganyaaaaa π€£π€£π€£.. mngezaa tu sasa hii katoto kangekuwa katambaaa
π ndio atakubembeleza mwanawaneeeeeπΉπΉπΉ Mzabmzab akiwa ndio koloni langu mbona naweza kulia kwa mambo yake ya humu..!!
Aliwahi kushika dogo mmoja simu yangu akakuta niliingia JF na siku log off akaniuliza tu kuhusu JF nikapotezea..!! Sema kadogo hakaelewi kitu japo ni mkali wa IT πΉ
Kuna waziri mmoja humu ana id ya kipuuzi kabisa na tuliwahi kutukanana..!! πΉπΉπ ndio atakubembeleza mwanawaneeeee
wengine ID zetu za JF kama bangeee, yani ikatokea mtu akajua id flanii ni ya nani unaweza tamani ardhi ipasuke na usirudi tenaaa..
π hii fantasy yangu niaipambania sanaaa kitoto nikiite hata jila member mwenye matata yakee humuu... iwe ukumbushoUzae na mwana JF πΉπΉ
Dah! Hiyo fantasy yako kiboko..!!
Mi natamani kumuona member mmoja live ila naogopa..!!