ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,111
- 40,420
Hamia Morocco maumivu utayasahauDah nipo naendelea kupoa taratibu
Unakalibishwa kuongeza pain killers😃
Hamia Morocco maumivu utayasahauDah nipo naendelea kupoa taratibu
Unakalibishwa kuongeza pain killers😃
Me ni team Senegal ila Africa na support team zote zikicheza hata hawa washenzi wa SAHamia Morocco maumivu utayasahau
☺️Wachambuzi wa mambo ya kale hao wamekuja na theory zao😃😃
Pia soma wimbo ulio bora 1:10😃
Sahihi afikishe 1000😃😃sio kwa maneno hayo☺️
🙌🏾🙌🏾 Kwako na kwa Mfalme 😂
💯 💯Sahihi afikishe 1000😃😃sio kwa maneno hayo
Safiii uzalendoMe ni team Senegal ila Africa na support team zote zikicheza hata hawa washenzi wa SA
Sentence yako ni tata mkuu💯 💯
Aliutumia ulimi wake vizuri sana!!
Uzalendo kwanza...Safiii uzalendo
I meant maneno bana...Sentence yako ni tata mkuu
Nimepata maana mbiliI meant maneno bana...
Ondoa akili huko kwenye utata!!😁
Hujanichoka aiseeUzalendo kwanza...
Hizo baraka utatuletea muda gani😃
Eti anawatapeli wadada wa watu 🤣🤣Nimepata maana mbili
Kutumia ulimi vizur kumaanisha alikua ana maneno mazuri
Ya pili kutumia ulimi Vizuri kumaanisha Mwongo/ mdanganyifu au tapel..
Sasa nikashindwa kuelewa kuwa alikua ana watapel wadada wa watu au😃😃
Naanzia wap kufanya ukatili wa hivyo??Hujanichoka aisee
Buku unaichukuliaje mkuu hata akiamua kulala kwa mmoja per day atatumia karibia miaka mitatu kuwamaliza wote 😃😃Eti anawatapeli wadada wa watu 🤣🤣
Pengine he was both...
Ila kwa sasa tumpe 🏆 ya maneno mazuri maana Hilo ndo tuna uhakika nalo 💯 🫠
Moyo wake ulikua unatosha kuwaweka wote 😁Buku unaichukuliaje mkuu hata akiamua kulala kwa mmoja per day atatumia karibia miaka mitatu kuwamaliza wote 😃😃
Kunyoa tena?? Sasa utakuwaje Ras na UparaDamn.... kesho naenda kunyoa 😃😃
😃😃Watu buku😃😃ivi unaweza wakumbuka wote kwelMoyo wake ulikua unatosha kuwaweka wote 😁
Inawezekana yeye ndo aliamzisha ume msemo wa There's enough love for everyone!🤷🏾♀️
Miaka sita mingi sana😃Kunyoa tena?? Sasa utakuwaje Ras na Upara
Watu wazamani hawakua na mambo mengi ya kuwa-distract kama kina sisi ujue.😃😃Watu buku😃😃ivi unaweza wakumbuka wote kwel
Ndiyo hivyo zipo MgongoniMiaka sita mingi sana😃