win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 8,804
- 29,849
hii meza unayotaka kutingisha inavinywaji vya bei, mbona unifukuzie mteja 😏😏Epuka kumeza meza madawa.
hii meza unayotaka kutingisha inavinywaji vya bei, mbona unifukuzie mteja 😏😏Epuka kumeza meza madawa.
Baasi bibi, mie mteja wako, natumia ile ya kijanininayo pia 😇
utaijia au nikuletee mwenyewe?Baasi bibi, mie mteja wako, natumia ile ya kijani
Aww nimeona! Uchebe unastawi tu😍Mbona hii nilipost?
View attachment 3609358
Kuuza kwako majeneza ndio usiwe unawaambia wenzio waendeshe gari kwa speed kubwa..hii meza unayotaka kutingisha inavinywaji vya bei, mbona unifukuzie mteja 😏😏
kheee mbona risala tena? hizo panado ni nyongeza tu kwa mteja wangu eboKuuza kwako majeneza ndio usiwe unawaambia wenzio waendeshe gari kwa speed kubwa..
Muuzie shower gel inatosha, panadol ni mpaka aumwe, sio anywe anywe tu, ile sio asali bibi, yana madhara makubwa kiafya ukiyatumia kwa muda mrefu
Nataka niache , sema rangi wenetu wanagomba sana😛Aww nimeona! Uchebe unastawi tu😍
Wewe tu bibi..utaijia au nikuletee mwenyewe?
Wanagombea nini?Nataka niache , sema rangi wenetu wanagomba sana😛
😂🤣Kasema atakuwa anakunywa kutoa hangover...kheee mbona risala tena? hizo panado ni nyongeza tu kwa mteja wangu ebo
Wanadai rangi yangu mbovu 😅Wanagombea nini?
Ah wapi rangi adimu hiyo warembo wanabanana huko!Wanadai rangi yangu mbovu 😅
Ushanitukana mwenetu😁Ah wapi rangi adimu hiyo warembo wanabanana huko!
Aje sasa?Ushanitukana mwenetu😁
sema ni umri babu usiamini kila kitu humu,, hangover inatolea na supu nzito sio dawa,, huyo niachie mimi sawa eeeh😂😂🤣Kasema atakuwa anakunywa kutoa hangover...
Ni muhimu kulinda afya.
Naongea ukweli tu mamnyang'ode,Aje sasa?
kabla sijafungua nikajua kilevi mwanetu😅 nikataka kushangaa since when umeanza kumwagilia moyo😂Wewe tu bibi..
Subiri nimalizie hii
Sawa ba’ mnyang’ode!Naongea ukweli tu mamnyang'ode,
Mjukuu wangu, kilevi changu unakijua, yaani mie nitafute pesa kwa shida kisha nikanywe soda mweleka, HAIWEZEKANI. 😂🤣kabla sijafungua nikajua kilevi mwanetu😅 nikataka kushangaa since when umeanza kumwagilia moyo😂
Sawa bibi 😂🤣sema ni umri babu usiamini kila kitu humu,, hangover inatolea na supu nzito sio dawa,, huyo niachie mimi sawa eeeh😂