Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,585
- 83,133
Nimekaa ready bebe njoo nasubiri😍Na mpya hata binti mrembo!😊
Foro nyingi za mstuniii ila ngoja nikuchekie ivooivooooo 😊
Usitoke napita uchiiii
Nimekaa ready bebe njoo nasubiri😍Na mpya hata binti mrembo!😊
Foro nyingi za mstuniii ila ngoja nikuchekie ivooivooooo 😊
Usitoke napita uchiiii
Nimecheka ila ww🤣🤣🤣🙌Mwanza siku hiz kuna mishangaz bora utoke nae mrembo ako mkoani kabisa
Kwani ukinipa kuna shida gani maka 😹
Ngoja nikupe story sasa..
X nilifungua parody nikajipa jina flani very unique. Sasa tukawa tunajibizana sana issue za politics Kumbe kuna mdada akajua mi mwanaume akaanza shobo mara arepost tweet zangu, likes nyingi..
Ikabidi nichungulie page yake nikakuta yupo vizuri ila mashauzi mengi. Nikaanza ku like na kumsifia..!!
Eeh..!! Kumbe kimefall bhana 😹
Basi nakuta tag kwenye zile nyuzi za watu wanaovutiwa nao X na wanaume kule wananijaza “Oyaa mwanetu maliza pisi imekuelewa” Mi nakufa kucheka 😹
Sasa kuna siku kazama dm anajichekesha basi nikatafuta desa langu la mtongozo kuna jamaa mmoja alikuwa ananiimbisha nikatambaa nalo. 😹
Mdada anachekelea balaa, kila akinitengenezea mazingira ya kunipa namba nachomoa..!! (Najua alichokuwa anataka) Sa mi mkia nautoa wapi jamani..!!
Nikapotea kama mwezi kurudi nakuta dm nyingi za malalamiko kwanini simzingatii..!! 😹
Kuna siku akanitumia pics zake ana night dress na kibikini kinaoenkana 😻😹😹
Nikamkumbuka hapa angekuwa shost yangu Dr. Mariposa asingechelewesha angempiga finger kwa muonekano ule..!!
Sasa bhana nilivyomsifia ikawa fungulia
mbwa mpk mpodido natumiwa 😹
Watu sikuhiz mnajiziba sana jmn khaa
Nimependa lakini unaji hide sana mwanike😍
Sikuhizi jau sana mamchu bora enzi zile ilikuwa full burudaniiiii naked zilikuwa naked kwelikweliii!Watu sikuhiz mnajiziba sana jmn khaa
Natest mitambo😁Sikuhizi jau sana mamchu bora enzi zile ilikuwa full burudaniiiii naked zilikuwa naked kwelikweliii!
Hebu pita naked tukumbushie enzi basiiiui😊😊😄
Hapo nmeficha machaliii si unajua children rights mamlakeee!!Nimependa lakini unaji hide sana mwanike😍
Weeee kumbe una lips tramu hivi na jicho kunguuuu huzitupiiii jamani dahhh👄👄👄👄💋💋💋💋💋Natest mitambo😁
Tena tuko makini mno juu ya child protection mama kuwa makini sana hatuchekeshi😁Hapo nmeficha machaliii si unajua children rights mamlakeee!!
JichoNatest mitambo😁
Thanks baby ake! Unasifia sana sasa, kidogo tu😁Weeee kumbe una lips tramu hivi na jicho kunguuuu huzitupiiii jamani dahhh👄👄👄👄💋💋💋💋💋
So biurifoooooo
Hupitwi pampula🤣Jicho
Nipita hapo juuHupitwi pampula🤣
Haya sijawahi kukuona selfika pita tajiriii😁
Unaringaga mno hayaNipita hapo juu
Hii nimeichoka hebu nyingine😎