ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,638
- 41,962
🤣🤣🤣 mimba ya kunusa hiiTumekula chumvi nyingi 🤭
Ndiyo ukute mimba imeingia, badala ya kutaka vitu vitamu vitamu kama ephen_ wewe unatamani kunusa harufu ya jasho lake tu
Labda aniachie bokisaaa😅😅Hapo anakuachia singlend yake, unabaki unainusa yeye akienda kazini 😅
Babu wa mchongo🤣Hahaha.........kama unamaliza bakuli mbili, basi mkwe ajiandae kupokea mapacha kama sio baunsa (mtoto wa Kiume)
Sisi Mababu tujiandae kukuletea zawadi ya Pampas tu 🤪
Manchuria ndo ipojeNani mnielekeze mgahawa wa wahindi wanaopika manchuria.
Zipo nyingine zinataka harufu tu🤣🤣🤣 mimba ya kunusa hii
Labda aniachie bokisaaa😅😅
Hii ya kuhesabu hela naitaka kwa vyovyote vilee😁😁Zipo nyingine zinataka harufu tu
Wengine wanakuwa wanatamani chakula fulani tu
Wengine wanapenda kuhesabu hela tu, kwahiyo mume lazima awe analeta kibunda kila siku Mama kija ahesabu 😅🙌
Sis utanisamehe sijui hata kuelezea.Manchuria ndo ipoje
Ukimzalia mumeo mtoto wa Kiume inakuwa umempa zawadi kubwa sana maishani, ni vile Mungu ndiyo huamua akutangulizie wakike ama KiumeBabu umejuaje napenda watoto wa kiume
Haya tutumie hizo pesa sasa tajiriii 😹Lamo nilini nilisha acha kutoa pesa
Nilijua tu hii ungeitaka 😅Hii ya kuhesabu hela naitaka kwa vyovyote vilee😁😁
Inapatikana wapNilijua tu hii ungeitaka 😅
Mtoto ni mtoto tu!Ukimzalia mumeo mtoto wa Kiume inakuwa umempa zawadi kubwa sana maishani, ni vile Mungu ndiyo huamua akutangulizie wakike ama Kiume
Mimi nilianza kuletewa wakiume, ilifanya niwe natoroka kazini kwenda kucheza naye nyumbani
Weekend yote sitoki na marafiki, nikukaa naye tu tunacheza
Koh koh 🤭Inapatikana wap
Ni kweli, mtoto ni mtotoMtoto ni mtoto tu!
Ninaye wa kiume tayari ila nataka wengine wa kiume.
Nataka kua mama boys
Hiyo baraka naipokeaNi kweli, mtoto ni mtoto
Mara zote wazazi tunapokea kama zawadi
Ila kwa huo ulaji wa bakuli mbili za urojo, naona anakuja boy mwingine 😅
Kila la heri, ukiweza nenda haraka harakaHiyo baraka naipokea
Kweli upo vizuri, difference ya mwaka mmoja utasema una asili ya Pwani 🤭Nipo vizuri! Mwaka jana nimeshusha na mwaka huu nashusha😂
Japo nipo mbali, lakini harufu yake nzuri imenifikia
Asante sana mkuu nitapitia hapo siku nimepata na mimi chimbo