Mimi wagoogle nimewaruhusu na huwa naweka kitu juu mpk chini sijali..!!Hata haistuiiii, ππππ
Uje na jambo jipyaa, hili la Gugo Lenzi ni Old humu ndani, labdaa kwako wee ni geni.
Uwe unanielewega mdogo angu ninavyowakatalia watu kufungua pm ndio km hivi sasa..!!ππππ nacheka km mwehuuu!!
Hawa wanalishana ujinga sana πΉπΉπππ mabwakuuu!!
ππππ nacheka sanaa, Shengesha za JF siku hizi hasitui kabisa, sijui nimekua sugu.Mimi wagoogle nimewaruhusu na huwa naweka kitu juu mpk chini sijali..!!
Waje hapa na majibu yao ila wasiniedit tu..
Yani watu wako busy kudownload app kisa pic za Lamomy seriously?
Mama Lamomy haupo duniani lakini watu wanateseka na uzazi wako ulioutotoa π
Momy Lamomy Igweeeeeeeeeeee π«‘ππ
Umezua taharuki mwanamke wa shoka..!!
ππWajaaaa!!
Mie km shengesha za JF, Basi UEFA nimevuka, sio tu hapa Selfika ni hadi huko Majukwaa mengine.
Muulizeni Max na Modes wake wa waambie,
Naona kuna Viumbe wanahisi nina mda wa kukaa kuwajadili au kuwafatilia, huo mda sina na nimeshavuka huko, kwanza sina na sihitaji shengesha na mtu, kazi yangu ni kutunza masijara na kuchochea π₯ shengesha ambazo waja watazileta wao wenyewe hapa na eneo hilo niko vizurii ππππ
Sasa km kuna mengineyo, hayo ni yenuu, na sihitaji, halafu mie mafumbo iwe hapa selfika, au huko majukwaa mengine huwa sijibu, na basi yawe mapyaa, cha ajabu ni kitu kile kile, aaaah, Jamanii nataka Mapyaa na Magenii mie. Alooo.
π mandeiiii!!
MlongoπWajaaaa!!
Mie km shengesha za JF, Basi UEFA nimevuka, sio tu hapa Selfika ni hadi huko Majukwaa mengine.
Muulizeni Max na Modes wake wa waambie,
Naona kuna Viumbe wanahisi nina mda wa kukaa kuwajadili au kuwafatilia, huo mda sina na nimeshavuka huko, kwanza sina na sihitaji shengesha na mtu, kazi yangu ni kutunza masijara na kuchochea π₯ shengesha ambazo waja watazileta wao wenyewe hapa na eneo hilo niko vizurii ππππ
Sasa km kuna mengineyo, hayo ni yenuu, na sihitaji, halafu mie mafumbo iwe hapa selfika, au huko majukwaa mengine huwa sijibu, na basi yawe mapyaa, cha ajabu ni kitu kile kile, aaaah, Jamanii nataka Mapyaa na Magenii mie. Alooo.
π mandeiiii!!
yank ki umri haimaanishi naweza kuwa mdogo wako, ukubwa hauko hivyo.Kuna uzi mmoja hivi ulitaja myaka yako kama kweli basi utakua yank kwangu kwa miaka 2
Wereze π
Ila nimecheka sana, Eti Anasema kumbe alikosea kumuita mwenzie Mnafiki, kisa kuhusu picha sio zake, na wakaombana msamaha, sasa kwani hilo la kusema picha sio zake tulisema sisi, au m1 wao ndio alibwata humu ndani, na sisi tukachochea tu,Uwe unanielewega mdogo angu ninavyowakatalia watu kufungua pm ndio km hivi sasa..!!
Kuchat kidogo tayari mtu anakujua eti πΉπΉ
Sawa mkuuyank ki umri haimaanishi naweza kuwa mdogo wako, ukubwa hauko hivyo.
Kwa heshima πmpaka niku acknowledge kwa vitu fulani, na ni few people nime wapa privilege hiyo.
Mtu kaselfika kila pozi la uso mpk kapaka katia Kidoti cha wanja lakini wapi haombwi pm ifunguliwe kapanic..!! πΉπΉπΉWajaaaa!!
Mie km shengesha za JF, Basi UEFA nimevuka, sio tu hapa Selfika ni hadi huko Majukwaa mengine.
Muulizeni Max na Modes wake wa waambie,
Naona kuna Viumbe wanahisi nina mda wa kukaa kuwajadili au kuwafatilia, huo mda sina na nimeshavuka huko, kwanza sina na sihitaji shengesha na mtu, kazi yangu ni kutunza masijara na kuchochea π₯ shengesha ambazo waja watazileta wao wenyewe hapa na eneo hilo niko vizurii ππππ
Sasa km kuna mengineyo, hayo ni yenuu, na sihitaji, halafu mie mafumbo iwe hapa selfika, au huko majukwaa mengine huwa sijibu, na basi yawe mapyaa, cha ajabu ni kitu kile kile, aaaah, Jamanii nataka Mapyaa na Magenii mie. Alooo.
π mandeiiii!!
Ww nae em kapeleke mkungu Huko, mwanaume mzima unatoa nnya.Hata haistuiiii, ππππ
Uje na jambo jipyaa, hili la Gugo Lenzi ni Old humu ndani, labdaa kwako wee ni geni.
ππJamani,naona tu kidoti,kidotiπ, kidoti tenaπ,mnanitisha.Mtu kaselfika kila pozi la uso mpk kapaka katia Kidoti cha wanja lakini wapi haombwi pm ifunguliwe kapanic..!! πΉπΉπΉ
Hizo sio shida zetu πΉ
Unajua na American boy katuletea hekaheka hapa. Aache kuniomba nifungue pm. Watu wanahisi hawaonekani..!!
Kanikumbusha enzi za babu miga alivyoona nimekataa akaniambia kwanza kabaya hafu pm anaomba appointment πΉπΉπΉ
JF inachekesha sana!!
Hapo sawa, una stress sana mwili hauna nuru itakuwa pawa mabula anakunyonya sana damu..!! πΉπΉπΉ
Rhabhekhaaa Mlongoooo, ππππππ
Mlongoπ
ππππ uduguu una nini lakiniii?? Hupoi tuu.Hapo sawa, una stress sana mwili hauna nuru itakuwa pawa mabula anakunyonya sana damu..!! πΉπΉπΉ
Hapo ndo Azam kumbe?
Niombee kipindi nije kufundisha uwekezaji na vijana..!!
Na uduguu wangu apewe cha SHENGESHA ZA KITAA NA COCASTIC πΉπΉπΉπ
Mahi kwani una Kidoti na wewe? πΉπΉππJamani,naona tu kidoti,kidotiπ, kidoti tenaπ,mnanitisha.
Tupewe vipindi udugu πΉππππ uduguu una nini lakiniii?? Hupoi tuu.
More love less ego, peace and love.Sawa mkuu
Kwa heshima π