Warld
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 2,133
- 5,532
Uwe unawahi sit ya mbele mkuu.Kila siku na chelewa hapa
Uwe unawahi sit ya mbele mkuu.Kila siku na chelewa hapa
Marhabaa, Ulale Sasa, wazee tunataka kupitaHeshima yako mzee![]()
umefanyaje fanyaje mpka huto tu kitu tumetokea? mi bado mgeni wa smart phone 😎 naomba kufundishwa
TAtizo kuwahi siti siwezi.Uwe unawahi sit ya mbele mkuu.
Njoo nikufundishe Rafikiumefanyaje fanyaje mpka huto tu kitu tumetokea? mi bado mgeni wa smart phone 😎 naomba kufundishwa
why boxer? hizo nazijua nataka kuona ile t shirt yako ya njano na wekundu😅😅😅Unataka kuona tena? Boxer au ...
location ni ganiNjoo nikufundishe Rafiki
Huyu ni Na kel Smith, kumbe yupo JamiiForum?
Hahahaha hiyo nimeiloweka Rafiki,dahwhy boxer? hizo nazijua nataka kuona ile t shirt yako ya njano na wekundu😅😅😅
Pale pale ,kwa Mzee ndulelocation ni gani
hay tupia nione umevalia nini saiviHahahaha hiyo nimeiloweka Rafiki,dah
karibu last born wetu😊Wakubwa
sawa nitakuja kesho mchanaPale pale ,kwa Mzee ndule
Aagh we kesho ,😂🤠😂🤠😂TAtizo kuwahi siti siwezi.
Saa nimekuambia nimevaa msuli, naangalia tanzania safari channel,🤣hay tupia nione umevalia nini saivi
Huu ndio muda mzuri wa class,kumetulia somo linaingia vzrsawa nitakuja kesho mchana
pembeni kuna mbege😅😅Saa nimekuambia nimevaa msuli, naangalia tanzania safari channel,🤣
weeee naijua hiyoHuu ndio muda mzuri wa class,kumetulia somo linaingia vzr