Haina noma mwanetu!Nitakushtua kama sita kufa
Nakusalimiaπ iz zea enewani araundi tujitupie
mi sijambo kabisa sijui wew hukoNakusalimia
Vzr kama hujambo, mie mzima kabisami sijambo kabisa sijui wew huko
nafurahi kuskia hivyoVzr kama hujambo, mie mzima kabisa
πππJamani shangazi wa mwadui umenunua blauzi mpya πΉπΉπΉ
Sasa mbona mnafuta picha fasta hutaki tukusifie kwa kulevel up! πΉ
Em achia phoro hilo waungwana tusuuze macho. Jiamini shangazi basi..!!
cocastic nimemiss kukuona udugu njoo uselfike darling Tayana-wog nipe mapicha ya mambele mi nataka kuiga fashooonn na pozi..!!
Chino anafungiwaga huko migombani juu ziwani, si anae anae naniiiii hukooo.πΉπΉπΉ wewe muda wote unalima huna likizo?
Chino mi nakupa talaka na hiyo talaka lazima niikatie sare nije kuifata nishakuchoka..!! Mwanaume gani upo km kakakuona? Unaonekana kwa manati..!!
Tupia wewee NYC Bwoiii. πππHuu uzi mbona hauna picha kabisa siku hizi, njoo uselfike
Nami nafurahi sana,kuona ukifurahi juu yangunafurahi kuskia hivyo
πππ chino una vibwekaaa weyeee, AlooohTwende tukaingalie Gemu ya chama langu la Arsenal hapo juma mosi nasikia wanna big screen.
Inabidi tuwe wote watoto wa Mariam saula wasije wakani paparukia! Na kunipeleka sijui kule wanapopaitaga V.i.p.
Weeh udugu usinambie!! πββοΈChino anafungiwaga huko migombani juu ziwani, si anae anae naniiiii hukooo.
ππππ
Unalala sana mpk unapitwa nawe πΉπΉπΉπππ
Nilichelewa wapiii jomoniii mahi, kumbe napitwaa na mambo mazurii huku, watu na blauzi zao za viwangoo,
Levels up beibiiii, πππ
Afu kwanini Mwadui sasa? Alooooh
Kaka mzuri anza wewe mimi nifate..!Huu uzi mbona hauna picha kabisa siku hizi, njoo uselfike
πΉπΉπΉ Sitaki wewe si una mchepuko ziwani..!Hakuna sehemu nzuri nzuri!! Ulipie hata KIREMBA. Namimi nitulie town.
Si unajua baridi linakuja Hilo mwezi wa sita
Babu wa bei za jioni.View attachment 3597525
Hello weekend π₯