min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 50,993
- 142,396
Mimi saa ndio ulevi wangu😅 njoo uchukue moja 😊Kuona saa kama hiyo.
Mimi saa ndio ulevi wangu😅 njoo uchukue moja 😊Kuona saa kama hiyo.
Kukata mzizi wa fitna ni kuweka Black & white tu😅kikisikia flani mchaga tu basi kinajua ni mweupe
ephen_ watu wanakuogopa😆Kukata mzizi wa fitna ni kuweka Black & white tu😅
Mimi saa ndio ulevi wangu😅 njoo uchukue moja 😊
Mbona hiyo imekupendeza sanaAisee mkono wangu sipendezi nilivaa saa😁
HujamboUnapenda kujifanya wa kuja mfyuuu!!
Kwamba huijui au? 😹
Hahaha saa haichagui mkono smart watch inakufaa zaidiView attachment 3596519aaah naona mkono chembamba😁
Unazingua mwananguWeupe wa min me unachekesha bhana! Kubwa zaidi vilips vyake eti vya pink
Nisamehe kwa kusema ukweliUnazingua mwanangu
yani dokta ukiweka tu yako napta uchi😎Weka picha ntakusemea kwa binti wa zamanii ☺️
naona unapita kimya kimya tajiri min me naomba namimi nione huto tulips bwasheeUnazingua mwanangu

Hii nzuri pia , sh ngap hii😊View attachment 3596526niliomba hii,niliambiwa nitachekesha😁, au ndio kunyimwa🙌
Acha zako na wewenaona unapita kimya kimya tajiri min me naomba namimi nione huto tulips bwashaa![]()
Yameisha we naeKusema ukweli🚮
View attachment 3596531
Sijui hata bei Tz ni kiasi gani.Hii nzuri pia , sh ngap hii😊
Saa ni nzuri sana , hiyo ni kali .Sijui hata bei Tz ni kiasi gani.
Mkuu tafadhali kwa heshima na taadhima tunakuomba urushe picha yako hapa.Yameisha we nae