Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Napenda sana kupika vitu tofauti ila sasa hicho kipaji ndo sina.
Jana usiku nimepika kachori nikatoa vitu vya ajabu
Leo nimepika keki ila badala isikike sukari inasikika chumvi
Aisee pole,jaribu tena kupika kachori,kama mie mara ya kwanza kupika sikuambulia hata Moja😁,

Viazi viliiva sana yaani kuviliga ilikuwa KAZI, na hile ngano sikuweka yai,yaani vilivurugika kwenye mafuta hata kula halifai.
 
Back
Top Bottom