Mpare utume pic zako OG, kumbe wee ni kafupi, kabonge, na keusi tii.Kwan zile Pic zina maajabu gn mpaka useme sio mm yule?
Au ulitaka Pic za namna gn ili ujue yule n mm?
Au ww unanijuaje mpaka useme yule sio mm?
[emoji41]
๐น๐น๐น Nimecheka sana!!Afu sikuona hizo reply za kusema Pic sio zangu.
Anyway, wao ndo waweke hizo pic ambazo n OG mana wananijua kunizid mm
Tena kafupi, kabonge, keusi tiii, [emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona wewe ni Gentleman lakini nikasikia zile umetupiga kuna watu wanazo zako OG ndo nasubiri ziwekwe nikuone tena kwa Mara ya pili..!! [emoji81][emoji81]
๐๐sawaSijaenda jana nilikuwa live band moja hivi hapa nimeamka nimefanya mazoezi nimenuna ๐น๐น
Umtoe wapiiii?? Usitutishee uduguu, aiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Nimecheka sana!!
Bana tushavuka hizo level, em tupia pics zingine mi nimemiss kuona wakaka wazuri wa JF.
Halafu nimeambiwa wewe bwanaangu ujue [emoji81][emoji81]
Yani humu kila bwana napewa Mara babu Grahams khaaaa..!! [emoji1787][emoji81]
Siku wakimjua bwanangu watakua shocked mana anawachora tu!
Warudi wote na rabbit tumewamiss kwanza yale yashapita..!! Halafu kaka rabbit jamani nimemmiss sijui anatumia id gani ss hivi? ๐ฅTin afanye kujaa jamanii, hana baya kabisaa, si alitoka kwa kumuogopa yule Rabbit, aaah
Wog Wog kanyooka sana levelsSi ndiwoooo!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] uletee wee mwenyewee, hatutaki tuwe wakorofii sie.Zile nilidanilodi gugo Huko, c unajua tena mambo ya teknolojia na IA [emoji23]
Haya leteni hizo pic zangu OG
Mie nataka arudi Babu miga, yaan ntafurahi hatarii [emoji23][emoji23][emoji23]Warudi wote na rabbit tumewamiss kwanza yale yashapita..!! Halafu kaka rabbit jamani nimemmiss sijui anatumia id gani ss hivi? [emoji26]
๐น๐น๐น Nasikia kuna watu walimponda huko anajishaua wakati pic zake og wanazo.Kumbe sio zake zilee? [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni Koleza levels!!.Wog Wog kanyooka sana levels
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii nachokaa mie.[emoji81][emoji81][emoji81] Nasikia kuna watu walimponda huko anajishaua wakati pic zake og wanazo.
Kuanza kutag machizi ndo siwezi hizo level nishavuka. Nipo UEFA kombe la mbuzi nimewaachia sichezi.Mtag Mwambie azilete Hizo og
Tukiwa online hawaleti ndo tatizo ๐น๐นNa wakileta wanitag nizione Ili nijijue ๐ Sio wanasubiri mtu awe offline Ndo wanazileta
๐น๐น๐น๐น๐น Sijui aliwatumia akawatongoza nazo ๐คฃEm tulia mparee, watu wanakujua kuliko unavyojijua, unaogopa nini? Kwani uongoo?? Lol
[emoji23][emoji23][emoji23]
๐น๐น๐น๐น๐น Hii imeendaMpare utume pic zako OG, kumbe wee ni kafupi, kabonge, na keusi tii.
Sasa zile ulitoa wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawaa ๐ nadanganyaMuongo ๐น
Unasubiri hatupo ndo unatupia.
Haya pita naked basi ๐
๐น๐น๐น๐น Weeehh!!Tena kafupi, kabonge, keusi tiii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni maajabuu. Woiiiiih
Pole sanaHamna, nilikuwa nimelala mapema tuu, jana Jmos ilikuwa siku ngumu kwangu
Nimefurahi sana! Naomba na leo upite basi ma mkali๐ sema nini upite mapema mida hiyo wengine tunakuwaga tunasinzia tumeshikilia tu simu si unajua uzee๐๐ ๐ nawe umelipa eenh?