ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,250
- 40,859
Picha sina tena zote za zamani😁😁Selfika, maneno yasiwe mengi 🤣
Tena nasikia wengine wanatujua kuliko tunavyodhani 😁😁🙌
Picha sina tena zote za zamani😁😁Selfika, maneno yasiwe mengi 🤣
Hebu jitupie maneno yasiwe mingi!Picha sina tena zote za zamani😁😁
Tena nasikia wengine wanatujua kuliko tunavyodhani 😁😁🙌
Kuna nini uku tena
🤣🤣🤣🤣Kuna nini uku tena
Mtapewa maini mapya mbinguni, pigeni vyombo 😅Sasa wenzako tunaoiga direct proportion na hatutambai wala nini😁
Eenhe we nenda kakisugue kama unang’arisha sufuria, maumivu yatakayofuatia nina uhakika hautarudia tena 😂Khaa ndio hujui kuna kusugua kikachubuka🤣
😆😆Hebu jitupie maneno yasiwe mingi!
JF ni kwa matajiri binti, usiselfika na hizo za alfu tatu tatu 😂😂Hebu nifute tambala langu la blue miee kesho nisikute machinga washazoom mpka washapangiana na bei😁
Mungu mwenyewe anaangalia moyo we unataka ukamringishie nani maini yako mapya mbinguni😅Mtapewa maini mapya mbinguni, pigeni vyombo 😅
Hahahah nitameza pen v! Kwahiyo nikipake mafuta au sabuni🌚Eenhe we nenda kakisugue kama unang’arisha sufuria, maumivu yatakayofuatia baada ya hapo nina uhakika hautarudia tena 😂
fanya kweli..
Sitorudia kosa🤌🏾😌JF ni kwa matajiri binti, usiselfika na hizo za alfu tatu tatu 😂😂
View attachment 3586246
Halafu kweli 😅🤭Mungu mwenyewe anaangalia moyo we unataka ukamringishie nani maini yako mapya mbinguni😅
Kama ute hautoshi, mimina hata mafuta kidogo palainike, siyo pa kusugua kwa nguvu hapo!Hahahah nitameza pen v! Kwahiyo nikipake mafuta au sabuni🌚
Hahhaaaa ngoja waje kusema ai, kula maisha la mama!
Ngoja nimalize hapa nikakomae nacho umesema mafuta ya taa, ya kula ama ya kupaka?🥱Halafu kweli 😅🤭
View attachment 3586252
Kama ute hautoshi, mimina hata mafuta kidogo palainike, siyo pa kusugua kwa nguvu hapo!
Mi ndio I like 🔥😅😅Hahhaaaa ngoja waje kusema ai, kula maisha la mama!
Umejifunza 😆 😅Sitorudia kosa🤌🏾😌
Ewaaah, hujakosea!Binti wa zamani na katerero😜
Hebu jaribu ya taa tuone itakuwaje 😂Ngoja nimalize hapa nikakomae nacho umesema mafuta ya taa, ya kula ama ya kupaka?🥱
Nimeokoka🤣Umejifunza 😆
Niunguze simi🤭Hebu jaribu ya taa tuone itakuwaje 😂
Nyt nyt bebe!😘
Intelligent businessman upo?Chica Gee muda ndio huu rafiki, selfika
Nipo rafiki
Nikajua leo mambo mengi muda mchache 😅😀, Weekend imefikaNipo rafiki