ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,242
- 40,827
Umkamatie niniAtakua samia huyo! Maana samia kwa kuteka yupo vizuri kwelikweli.
Ila sio mbaya, nikimuona aliyeteka moyo wako namkamata.
Kwa kosa gani
Umkamatie niniAtakua samia huyo! Maana samia kwa kuteka yupo vizuri kwelikweli.
Ila sio mbaya, nikimuona aliyeteka moyo wako namkamata.
la kuteka moyo wako😅Umkamatie nini
Kwa kosa gani
mbona nyumbani unapafaham jamni si uje tuonane 24 seven😆Sijakusahau nikikuona nafurahi
Mimi naomba nile hivyo vya ndani tu 😜nipatie mwili maji
njoo ule babu yangu👌 vitu vyako hiviMimi naomba nile hivyo vya ndani tu 😜
Wamezoea kuteka sana watu, sasa leo hii wanateka na moyo wako!! Sikubali aise, ukituonesha tu aliyeteka moyo wako, me namkamata, namshughulikia na nafuta mtandao wake wote!Umkamatie nini
Kwa kosa gani
Nilikwambia je yesterday 😅mbona nyumbani unapafaham jamni si uje tuonane 24 seven😆
we Emily kwan unalalaga mda gani? usiku wa manane ulikua macho na saivi bado upo active kwan we ni robot😆Wamezoea kuteka sana watu, sasa leo hii wanateka na moyo wako!! Sikubali aise, ukituonesha tu aliyeteka moyo wako, me namkamata, namshughulikia na nafuta mtandao wake wote!
Afu kuanzia sasa moyo wako nitaulinda mimi milele, amina.
Niambie kwanza I'd yako ya zamani😏😅Wamezoea kuteka sana watu, sasa leo hii wanateka na moyo wako!! Sikubali aise, ukituonesha tu aliyeteka moyo wako, me namkamata, namshughulikia na nafuta mtandao wake wote!
Afu kuanzia sasa moyo wako nitaulinda mimi milele, amina.
Huyu sijui ni mchawi😅we Emily kwan unalalaga mda gani? usiku wa manane ulikua macho na saivi bado upo active kwan we ni robot😆
sawa swee karibu mnoo uje tucheke😅😅Nilikwambia je yesterday 😅
Jiooniiiiii nitakua sinza then nikitoka nakuja kulala huko
Nije na nini mahi wine au 🔥🔥sawa swee karibu mnoo uje tucheke😅😅
kwan ni new?Niambie kwanza I'd yako ya zamani😏😅
anything shoooo 🤗Nije na nini mahi wine au 🔥🔥
Kama ulikwepo vile Daktari aliponisisitiza kula nazi kwa winginjoo ule babu yangu👌 vitu vyako hivi
Huyu simuamini kabisakwan ni new?
sasa protein zikiwa nyingi si utamtesa bibi jamni🤭😆Kama ulikwepo vile Daktari aliponisisitiza kula nazi kwa wingi
Juzi nimeenda tena hospitali, wamenambia niongeze na korosho eti 😂
ishi nae kama alivyo kuja bwana hata usijiteseHuyu simuamini kabisa
Mbibi wa babu huyo yupo njiani anapeleka kikosasa protein zikiwa nyingi si utamtesa bibi jamni🤭😆
Niteseke na mtu umenisahau diha😅ishi nae kama alivyo kuja bwana hata usijitese