min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 50,993
- 142,396
Amarula sio pombe ni maziwa ya mgando , si bora nimpigie mama min awe anakupa hata lita 5 kila siku?Duh nakuja chap
Mi ni amarula tu
Amarula sio pombe ni maziwa ya mgando , si bora nimpigie mama min awe anakupa hata lita 5 kila siku?Duh nakuja chap
Mi ni amarula tu
Shindii fanya chapu aseeTulia hapa hapa usitoke.
🤣🤣🤣🤣🙌Amarula sio pombe ni maziwa ya mgando , si bora nimpigie mama min awe anakupa hata lita 5 kila siku?
Mda wote una waka mama mchunga , ebu shika tivii yako fuatisha nyuma yangu ameni?Ulikuwa wapi ss mpk nimefuta🤣🤣
Anyway
Kaa humu leo
YEsMda wote una waka mama mchunga , ebu shika tivii yako fuatisha nyuma yangu ameni?View attachment 3580864
Kabsa , mama pale nyumbani kuna ng'ombe wa maziwa utakunywa maziwa mpka uchanganyikiwe😀🤣🤣🤣🤣🙌
Najua , huyo kwangu mimi ni mwalimu wangu wa meditationYEs
Thats my mentor
Thankx
Hahahahahaha karibu sana rasi , siku moja nikiwa karibu nitakualikaHapo labda nitajaribu 😀
WowNajua , huyo kwangu mimi ni mwalimu wangu wa meditation
Sawa Ras, Asante endeleaHahahahahaha karibu sana rasi , siku moja nikiwa karibu nitakualika
Uzi ule , mhusika atakua aliomba ufungweHivi mbona ule uzi umefungwa ni nn mbaya?
Bado natafuta jamani🤣🤣Shindii fanya chapu asee
Shindii fasta kwa harakaBado natafuta jamani🤣🤣
Leta hela nikupe koneksheni🤣🤣Nilikua namtaka masai dada kumbe Smart911 Kaji atachi tena hapo ,maskini mimi mlevi🥲
View attachment 3580866
Shindii ukitaja hela , nasikia kama nakufa , niache nilewe tuLeta hela nikupe koneksheni🤣🤣
Niaje mwenetu!