Selfika na JF: Snap it. Show it

Tuko wote kkoo ila hatujuani wii 😹😹
Ukiniona utashinda siku nzima unacheka..
Ankal surprise yako hii hapa..
 
eti wajelajela unajua unanichekesha na comment zako mwishoe niunguze hawa fulu ninao kaanga😅😅😅
Nyie si waoga eenh! Endeleeni kulialia pembeni, hapa ni makavu laivu hajakuzaa mtu humu! Kvma ukiuza ni yako mama! Hebu kuwa huru! Kama mambwa yao yamewahama sio shida zako! Wadeal na hao malaya wenzao huko walipokutania! Kama washamba hivi..
 
Nyie si waoga eenh! Endeleeni kulialia pembeni, hapa ni makavu laivu hajakuzaa mtu humu! Kvma ukiuza ni yako mama! Hebu kuwa huru! Kama mambwa yao yamewahama sio shida zako! Wadeal na hao malaya wenzao huko walipokutania! Kama washamba hivi..
Hakuna kumuachia Mungu. Depal will be protected at all cost
 
Hebu nifike kwanza nyumbani kwangu nitulie kwaajili ya missiles lol, naona ShesRise_1 unachekelea tu! Kumbe muoga eenh? Endeleeni kuogopa miungu zenu mama, hiki ni kichaa kingine! Yani mtu akiona watu wanakushobokea anabwatuka hatari🤣 anakuwaza daily tangu mwaka uanze, akiunga kibando chake cha jero anawahi kuona umeandika nini mwishoe ujikwae maniner! Haya win-one endeleeni kujichekesha na vibabu vyenu muwashiwe moto lol 😆 mwingine katoka kuitwa malaya wa jf juzi, sijui alijiuza soko likagoma anahisi wengine hatunaga maisha mengine tunategemea pumbu za jf! Ka_senge hili.. Mxieeew!!
 
My darling hata kwa kunitazama unahisi nina nidhamu ya uoga?
Hua sinunui ugomvi usionihusu au ambao sina uhakika ni mimi nalengwa mimi issue za mafumbo nilishakataa kitambo mtu yeyote mwenye ubavu wa ku battle na mimi aje direct yaani hivi
Anyooooke 🔥

Yaan mtu akiwa na shida na mimi aje direct mafumbo kwa khadija kopa
I'm here ShesRise_1 🔥🔥🔥
 
Ndo maana watu wanakufa hovyo kwa kuumwa moyo
Chuki mzigo chuki inaua ohoo
Ukimuona unayemchukia anacheka hk ww moyo unalipuka unaumia
Wanakufaga midomo wazi hawa mbwa! Limtu halikujui ila linakuwaza kama uliondoka na simi lake🤣 likiingia jf break ya kwanzal inakagua umeandika nini! Mtu usiyemzidi hanaga muda bwanaa!! Linashindana mpaka na wenzie wako ulaya wanakula maisha tu! Umalaya mwingine bwana!
 
ni kweli mimi ni muoga😅😅 sipendi ugomvi kabisaa bora nimpe mtu ushindi aende zake, yani mpka mtu aanze ugomvi na mimi naamini kuna mahali nimemzidi kitu sooo my cute sisy nguvu ya kujibizana walah sina,,, siwezi kupambana na maisha bado nije kupambana na fake aidiii never ever,, Jf nilikuja pekeangu and I hope nitaondoka pekeangu siwezi kuruhusu nipewe kisukari kwenye bundle na simu yangu😆😆😆

haya fika kwanza home alf tuendelee tulipo ishia😘
 
Acha aendelee kufanya upuuzi alafu aone uvumilivu niliona ukiisha utakua aje. Mimi mwanaume nipo kumdefend depal lakini siku nikianza kuwa offensive basi atapata shida

Nilimuambia hajui nina rasilimali kiasi gani za kuweza kumshughulikia lakini namuonea huruma. Akiendelea alafu uvumilivu ukaniisha, kabla sijaanza kumshughulikia nitakutumia nikuonyeshe naenda kumshughulikiaje. Utashangaa sana. Acha aendelee kuvamia pasipovamiwa
 
Basi endelea kusubiri wakuface! Mwenye huo ujasiri sijamuona bado zaidi kupapatika kama uchi usopona uti😆
 
Hutaki kuondoka na hata kijana? Hahaa sawa kaeni library kwanza! Mlotuzidi tuje tuwafokee na simu zetu za mikopo🤣
 
Hakuna anayependa kugombana but Kuna watu hulazimisha. Hao wanaolazimisha ndio hupewa haki uao
 
Hebu wape funzo kwanza! Soko lao lishakuwa gumu ni kuparamia tu kila mtu ilimradi kama vichaa! Mtu anakichaa cha jf mpaka kinamzidia nguvu! Kujizuia haiwezekani kabisa loh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…