Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe kasoma mipango 😹😹😹
Atakuwa Afisa maendeleo hizo ndo kozi zao mipango..!!

Hii ya uhasibu tuipitie tena kuhakikisha km kweli.. 🤣😹😹
 
Ma file mengi ya Debo yalikuwepo sema kipindi kile km alikua na kismati kwa waja, shouzz asinge eleweka, ila kwa sahivi kila mtu anajua heka heka za Debo,

Afu kumbe Debo ni Mkurya, sio wa kaskazini.
Si alisemaga yeye mixer ya chagga na Meru. Kumbe wa huko ukuryani.
Ila Hii JF mweeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Debo mkurya mbona hiyo mi Naijua kitambo na tulibishana kweli na mtu mmoja nilipomwambia hivyo..!! 😹😹😹
 
Jamani acheni kuripoti basi hamtaki wambea tule ubuyu? Mods acheni hizo bana na nyie msiwasikize wakuda hao..!!

Fake p tuendelee kabla uzi haujafungwa chap chap kamanda..!!
Nani ana report uduguu, em aache upuuzi, auache huu uzi utambee na heka heka zake. Lol
 
🤣🤣 Mimi Sina hisia zilisha tangu, str joro, fake attention mnazompa ndio zinamponza. Huyu sio wakumuonea huruma hata kidogo, anatangaza ubaya Hamjui mtu hawezi kujidefend, Lakin Kwan mnamuita debora?
We fake P huyo D anasema wewe ni bff wa bwanake sasa kwanini unamchunguza na kumfatilia na kumtisha??
 
🤣🤣 Mimi Sina hisia zilisha tangu, str joro, fake attention mnazompa ndio zinamponza. Huyu sio wakumuonea huruma hata kidogo, anatangaza ubaya Hamjui mtu hawezi kujidefend, Lakin Kwan mnamuita debora?
Kwa nguvu na maarifa nitamtetea deppal kwa kila uzushi na uongo unaomzushia

Maumivu uliyopata tafuta remedy kwingine. Umekua mtu uliyechanganyikiwa
Kama kwao kupo hivyo, kwenu kupoje?
 
[emoji81][emoji81][emoji81] Mi nilijua muda nikashangaa kajipachika kwa wachaga..!!

Huyo ni kurya.
Mke mwenzio na wewe [emoji1787][emoji81][emoji81]

Sema Debo anajirahisi sana humu kawa km jamvi la wageni ndo nini sasa??
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli mke mwenzangu kwa M, sikatai uduguu. Lol
 
Kwa nguvu na maarifa nitamtetea deppal kwa kila uzushi na uongo unaomzushia

Maumivu uliyopata tafuta remedy kwingine. Umekua mtu uliyechanganyikiwa
Kama kwao kupo hivyo, kwenu kupoje?
Amezushiwa neno Gani? Be specific naona utanichelewesha lakin
 
Kwenu kupoje? Hapo kna ubaya gani? Mnaongea usengerema mtupu.
Pia maswala ya wazazi ya kazi gani? Mmeshindwa kumzungumzia yeye mwenyewe?
 
Kwa nguvu na maarifa nitamtetea deppal kwa kila uzushi na uongo unaomzushia

Maumivu uliyopata tafuta remedy kwingine. Umekua mtu uliyechanganyikiwa
Kama kwao kupo hivyo, kwenu kupoje?
😹😹😹 Bartasar usije kuwa ni CH umepita mlango wa nyuma.!.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…