Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,791
- 58,403
Sio wa kishua bana...nimechekaaaaaaaaa😄😄😄😄😄 pumbavu zako,, bado haujapona gono ushakimbilia mwanamke mwingine🤨,, sasa hiyo pisi utaipa nini? au ndo atasubiri hizo mia 5 unazopata ukiwawekea watu movie🤦♀️🤦♀️ au,ni toto la kishua halihitaji matunzo
haya mdogo wangu kila la kheri usiache kunipa kadi kwenye harusi yenuSio wa kishua bana...
Angekua wa kishua asingekuwepo pale kuhangaikia kazi za ajabu zile et wanasema jinsi gani ya kupitisha sofa kwenye mlango mdogo.
But all on all haka katoto nasema.kabisa kameteka Moyo wangu aiseeee 💯 🙏..
Naawezela achana na mishangazi hv hv aiseeee alafu ujue nn oya black beuty hii alafu modal rasta mpaka matakoni..
Mi rasta napenda ujue
Mi na kuoa wapi na wapi...haya mdogo wangu kila la kheri usiache kunipa kadi kwenye harusi yenu
sasa unampango wa kuzini mpka lini kijana 😄😄Mi na kuoa wapi na wapi...
Doooh unanikosea sana
leo sikukuu babu sitaki kutumia vya kienyeji kabisaa nataka nijijaze sumu na vitu vya kisasa 🤭😄😄Eid Mubarak kwako pia Mjukuu, karibu kijijini tunywe togwa leo maana tumekuwa na hamu nayo mwezi mzima 😂
😂😂 hutaki nikusimulie hadithi, njoo ninazo nyingi leoleo sikukuu babu sitaki kutumia vya kienyeji kabisaa nataka nijijaze sumu na vitu vya kisasa 🤭😄😄
basi jioni babu,, maana saivi namsaidia mama kupika maana leo tuna wageni🤗😂😂 hutaki nikusimulie hadithi, njoo ninazo nyingi leo
Basi nitakusubiri jioni, kama utaweza nijie na juice ya tende niimarishe afya Babu yako 😋basi jioni babu,, maana saivi namsaidia mama kupika maana leo tuna wageni🤗
nikubebee nini babu
nichanganye na mtindi au maziwa fresh?☺️Basi nitakusubiri jioni, kama utaweza nijie na juice ya tende niimarishe afya Babu yako 😋
Wewe ndiyo maana nataka nikupe urithi wa yale mashamba yangu, siyo kunipatia hivyo Babu yako 😊nichanganye na mtindi au maziwa fresh?☺️
unajua kunifurahisha sana babu🤣🤣🤣🤣sawa nitafanya hivyo babu yangu kipenziWewe ndiyo maana nataka nikupe urithi wa yale mashamba yangu, siyo kunipatia hivyo Babu yako 😊
Niwekee maziwa fresh, nataka afya yangu iwe imara kama nilivyokuwa mwaka 47😜
😂😂 ungependa nikuandalie nini ukija? bahati nzuri Bibi yako amekwenda kijiji jirani, utanikuta mwenyewe nikikubanikia yule kuku niliyekwambiaunajua kunifurahisha sana babu🤣🤣🤣🤣sawa nitafanya hivyo babu yangu kipenzi
Nakuona mzee unajiandaa kuingia mzigoni😂
Daktari amenambia eti natakiwa kula hizo ili kujilinda na baridi, si mnajua Babu yenu nimezeeka 😂Nakuona mzee unajiandaa kuingia mzigoni😂
Babu yetu soon unajiokotea vijukuu kama kawaida🤗Daktari amenambia eti natakiwa kula hizo ili kujilinda na baridi, si mnajua Babu yenu nimezeeka 😂