Selfika na JF: Snap it. Show it

Poor Brain baba mishangazi nakusalimia wew na yule ndugu yako๐Ÿคญ,, mnitag kwenye ule uzi siuoni tena
Win nipo na hali mbaya sijui shida nini.
Yaani nikikojoa kama nakojoa moto ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Huku panauma nikikojoa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
 
Win nipo na hali mbaya sijui shida nini.
Yaani nikikojoa kama nakojoa moto ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Huku panauma nikikojoa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawa
 
wenzako waliamua kuacha uzinzi mwezi mtukufu ila we ukaendeleza kila baada ya kufuturu,,, pole mtuwangu get well soon nenda maabara wakakudunge powerself moja ukunywe na cefixim plus dox utakua sawa
Mmmh hiyo powerself staki tena ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ maumivu yale staki..
Ile dawa nzito kama uji siitaki siitaki sitaki..
Wanasema itakua UTI
 
Nimepona vzr tu...
Leo nipo sehemu moja hv kuna interview ila naona kabisa sitoboi nakutana na watoto hao mpaka napagawa mimi..

Napagawa mimi mwenzenyu nashindwa zuia hisia zangu kwa hawa wadada hapa kabisa an aiseee
tamaa zitakuua mdogo wangu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ unahitaji maombi
 
uzuri kidudu ni chako siwezi kukupangia matumizi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

hebu selfika kwanza nione ulivyo tupia huko kweny intaviu
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Nipo kwa gari nardi kwetu..

Nimeshindwa washa printer machine shame on me... ๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Nimepata namba ya kadada kembamba
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Nipo kwa gari nardi kwetu..

Nimeshindwa washa printer machine shame on me... ๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Nimepata namba ya kadada kembamba
shame on you again and more๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
badae sitokuwepo we nambie saivi tuyamalize๐Ÿ˜„
Yule mdada niliyemuomna namba kanichek hapa..

Kiufupi tayari ni wapenzi aiseeee Mungu akunyimi vyote just imagine nimekosa kazi ila nimepata chaguo la moyo wangu..

Mtoto anasema mi ni mkaka pole alafu smart sana.

Daaah Mungu mkubwa na anamakusudio yake aiseeee..
 
nimechekaaaaaaaaa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ pumbavu zako,, bado haujapona gono ushakimbilia mwanamke mwingine๐Ÿคจ,, sasa hiyo pisi utaipa nini? au ndo atasubiri hizo mia 5 unazopata ukiwawekea watu movie๐Ÿคฆโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฆโ€โ™€๏ธ au,ni toto la kishua halihitaji matunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ