Iyo iyo ya kuelekea kyela.
U can imagine miaka 2009_2011. Ilikuaje.( Afu Kule kulinikomaza sana ndio mana siku hizi chaka lolote na survive.)
Hahaha fix Tena!!
Hapo sijakuelezea nilivyopokea kichapo kikali nusu ya kifo Toka kwa wananchi wenye hasira Kali.( Siku ntaleta history zangu jf story sema sio mwandoshi mzuri)