Selfika na JF: Snap it. Show it

Makaaaaaa πŸ—£οΈπŸ—£οΈ
Wanataka kukubebea goma lako huku..!! 😹😹😹
Si unajua mie sina HATIMILIKI ya hiyo PAPUCHI, πŸ˜‚πŸ€£
Kama mwenyewe ataamua kubadili ladha, akambless kama anavyonibless mimi, sina ujanja wa kukakataza, hiyo ni mali yake.
Ila ikiwa bibie mwenyewe hataki kutoa halafu dogo akafosi hapo ndio anatutafuta ubaya WAHUNI
 
Hujanisoma vizuri, mimi nakwambia wewe ukijaribu kuchepuka Maka atakutembezea kichapo mpaka ushangae..!!

Huyo maka wa kwako peke yako na mimi ndo guard 😹😹😹
Acha kunitoroshea mtoto mzuri lamo
 
Hujanisoma vizuri, mimi nakwambia wewe ukijaribu kuchepuka Maka atakutembezea kichapo mpaka ushangae..!!

Huyo maka wa kwako peke yako na mimi ndo guard 😹😹😹
Huna lolote πŸ˜‚πŸ˜‚ mi nataka maelezo kuhusu huyu Mangi, simwelewi elewi ila naona kuna misururu ya warembo humu inataka kujipigia pande 🀣

Halafu huyo Maka mbona unampigia pasi ndefu ndefu hivyo, kwani kakuhonga nini πŸ˜…
 
Huna lolote πŸ˜‚πŸ˜‚ mi nataka maelezo kuhusu huyu Mangi, simwelewi elewi ila naona kuna misururu ya warembo humu inataka kujipigia pande 🀣

Halafu huyo Maka mbona unampigia pasi ndefu ndefu hivyo, kwani kakuhonga nini πŸ˜…
Weee bana usinitie matatizoni sasa hivi nimeacha ugomvi ila unavyoona ndo hivyo hivyo 😹😹😹

Kuhusu maka kaa kwa kutulia hata wewe unampenda inshort wote mpo kwenye huba zito πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸƒβ€β™€οΈβ€βž‘οΈπŸƒβ€β™€οΈβ€βž‘οΈπŸƒβ€β™€οΈβ€βž‘οΈπŸƒβ€β™€οΈβ€βž‘οΈπŸƒβ€β™€οΈβ€βž‘οΈ
 
Weee bana usinitie matatizoni sasa hivi nimeacha ugomvi ila unavyoona ndo hivyo hivyo 😹😹😹
Tanguliza umbea TSR nakuja 🀣🀣
Wacha weeh, tatizo gangster mimi napenda mapenzi laini lainiπŸ˜… huba litiwe na iriki, liwe shata shatah!

Ila namkubali sana, fundi mwenye mavituz yake, hana baya mshkaji wako!
 
Huna lolote πŸ˜‚πŸ˜‚ mi nataka maelezo kuhusu huyu Mangi, simwelewi elewi ila naona kuna misururu ya warembo humu inataka kujipigia pande 🀣

Halafu huyo Maka mbona unampigia pasi ndefu ndefu hivyo, kwani kakuhonga nini πŸ˜…
Achana nae kalamo kanapenda vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…