Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Makaaaaaa 🗣️🗣️
Wanataka kukubebea goma lako huku..!! 😹😹😹
Si unajua mie sina HATIMILIKI ya hiyo PAPUCHI, 😂🤣
Kama mwenyewe ataamua kubadili ladha, akambless kama anavyonibless mimi, sina ujanja wa kukakataza, hiyo ni mali yake.
Ila ikiwa bibie mwenyewe hataki kutoa halafu dogo akafosi hapo ndio anatutafuta ubaya WAHUNI
 
Hujanisoma vizuri, mimi nakwambia wewe ukijaribu kuchepuka Maka atakutembezea kichapo mpaka ushangae..!!

Huyo maka wa kwako peke yako na mimi ndo guard 😹😹😹
Acha kunitoroshea mtoto mzuri lamo
 
Hujanisoma vizuri, mimi nakwambia wewe ukijaribu kuchepuka Maka atakutembezea kichapo mpaka ushangae..!!

Huyo maka wa kwako peke yako na mimi ndo guard 😹😹😹
Huna lolote 😂😂 mi nataka maelezo kuhusu huyu Mangi, simwelewi elewi ila naona kuna misururu ya warembo humu inataka kujipigia pande 🤣

Halafu huyo Maka mbona unampigia pasi ndefu ndefu hivyo, kwani kakuhonga nini 😅
 
Huna lolote 😂😂 mi nataka maelezo kuhusu huyu Mangi, simwelewi elewi ila naona kuna misururu ya warembo humu inataka kujipigia pande 🤣

Halafu huyo Maka mbona unampigia pasi ndefu ndefu hivyo, kwani kakuhonga nini 😅
Weee bana usinitie matatizoni sasa hivi nimeacha ugomvi ila unavyoona ndo hivyo hivyo 😹😹😹

Kuhusu maka kaa kwa kutulia hata wewe unampenda inshort wote mpo kwenye huba zito 😹😹🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️
 
Mwaka huu kwangu ulikuwa kama hii picha yangu dadekiii
IMG_5477.jpeg
 
Weee bana usinitie matatizoni sasa hivi nimeacha ugomvi ila unavyoona ndo hivyo hivyo 😹😹😹
Tanguliza umbea TSR nakuja 🤣🤣
Kuhusu maka kaa kwa kutulia hata wewe unampenda inshort wote mpo kwenye huba zito 😹😹🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️
Wacha weeh, tatizo gangster mimi napenda mapenzi laini laini😅 huba litiwe na iriki, liwe shata shatah!

Ila namkubali sana, fundi mwenye mavituz yake, hana baya mshkaji wako!
 
Huna lolote 😂😂 mi nataka maelezo kuhusu huyu Mangi, simwelewi elewi ila naona kuna misururu ya warembo humu inataka kujipigia pande 🤣

Halafu huyo Maka mbona unampigia pasi ndefu ndefu hivyo, kwani kakuhonga nini 😅
Achana nae kalamo kanapenda vita
 
Back
Top Bottom