Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,909
- 104,019
Kijana wetu Razorblade ana sikitisha sana, kiufupi ana piga pipa 😂🤣Inasikitisha sana mkuu, mm mpaka sasa nalia mpaka wamama wa mtaani wameniletea uji wa mchele 😭
Muongoo huyoo!! 😂😂😂😂
😂😂😂😂 ile weweeeTupo kwenye Confusedship...
Relationship imeisha😃😃
Pole si unajua hapa hatuachi picha muda mrefuNimekuta tag tu mama mtu sijaambulia kitu 😂
Uneanza lini roho mbaya😄Utakuja ufe kichwa wewe🤣🤣
Hafi mtu hapaAiseee 😃nyonga mkalia ini sio🤣
Kaka Razor nipo na wewe mpaka wakuue🤣
Or what is our situationship??😃😃😃😂😂😂😂 ile weweee
Nilishasema nipo na kijana wetu mpaka umuue 😃😃Uneanza lini roho mbaya😄
Wewe, umeenda kufanya nini huko tena?
Mi nmekaa zangu tu wakanivamia🥹Wewe, umeenda kufanya nini huko tena?
Sawa mamaMi nmekaa zangu tu wakanivamia🥹
Sawa mama
Pumzka tu mama ukueNgoja nikalale🤭
😁😁😁😁Pumzka tu mama ukue
nataka vyote aunt😂😂😂😂😂😂😂
Ila shangazii nimecheka sana, kwanini lakinii?.
Unataka yawaje? Meupe? Au Dental form?
Nina mashavu kama mimba ya panya naona aibu kupiga picha 😂😂Mara ya mwisho kukuona nikipindi kile cha sofi, hebu fanya namna utubless cheupe wetu.
Hivyo hivyo ulivo mi nakuelewa ebu fanya jambo alafu namimi ntahakikisha mwaka huu nakulimia bure, kukupa mbegu bure na kunyeshea katika shamba lako kule shy town.Nina mashavu kama mimba ya panya naona aibu kupiga picha 😂😂