nikuweke JF-Expert Member Joined Sep 23, 2025 Posts 370 Reaction score 835 Sep 25, 2025 #406,001 Binti wa zamani said: Hizi tunza utamsikilizisha mpenzi ajaye. Mimi hizi nyimbo siwezi kusikiliza, nina PTSD ya mapenzi! Naungana na Evelyn Salt kama vipi yafutwe, nibakie na kudinyana tu! Click to expand... π€ͺπ€ͺπ€ͺ Japan wamekuja na kifaa, cha kufuta memory.. hii itasaidia sana wahanga. Hizi song nakumbuka miaka ya zamani sana kwenye ujana, leo nimejikuta nazikumbuka na nimekumbuka mbaali sana kwa mtoto Winfrida enzi hizo namsindikiza skongaaa
Binti wa zamani said: Hizi tunza utamsikilizisha mpenzi ajaye. Mimi hizi nyimbo siwezi kusikiliza, nina PTSD ya mapenzi! Naungana na Evelyn Salt kama vipi yafutwe, nibakie na kudinyana tu! Click to expand... π€ͺπ€ͺπ€ͺ Japan wamekuja na kifaa, cha kufuta memory.. hii itasaidia sana wahanga. Hizi song nakumbuka miaka ya zamani sana kwenye ujana, leo nimejikuta nazikumbuka na nimekumbuka mbaali sana kwa mtoto Winfrida enzi hizo namsindikiza skongaaa
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,235 Reaction score 86,945 Sep 26, 2025 #406,002 Binti wa zamani said: We pitia pitia, hakuna kilichofutwa. Mkaka kadondokea kwa mtoto mmoja humu, ila binti hamtaki π€£π€£ leo kaja kuyamwaga hapa hapa π€£π€£ Click to expand... Min babu jinga πΉπΉ Nna ubuyu unaniwasha ngoja nikamwambie Max aweke jukwaa la wambea ili niflow huko..!!
Binti wa zamani said: We pitia pitia, hakuna kilichofutwa. Mkaka kadondokea kwa mtoto mmoja humu, ila binti hamtaki π€£π€£ leo kaja kuyamwaga hapa hapa π€£π€£ Click to expand... Min babu jinga πΉπΉ Nna ubuyu unaniwasha ngoja nikamwambie Max aweke jukwaa la wambea ili niflow huko..!!
Binti wa zamani Platinum Member Joined Nov 19, 2011 Posts 11,903 Reaction score 27,617 Sep 26, 2025 #406,003 Lamomy said: Min babu jinga πΉπΉ Click to expand... Muache my friend buana π Lamomy said: Nna ubuyu unaniwasha ngoja nikamwambie Max aweke jukwaa la wambea ili niflow huko..!! Click to expand... Wakati tunasubiria jukwaa la wambea, anza kuupunguzia hapa hapa π
Lamomy said: Min babu jinga πΉπΉ Click to expand... Muache my friend buana π Lamomy said: Nna ubuyu unaniwasha ngoja nikamwambie Max aweke jukwaa la wambea ili niflow huko..!! Click to expand... Wakati tunasubiria jukwaa la wambea, anza kuupunguzia hapa hapa π
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,312 Reaction score 79,996 Sep 26, 2025 #406,004 Binti wa zamani said: Asante, mko kiwanja gani? Click to expand... Magori pub
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,235 Reaction score 86,945 Sep 26, 2025 #406,005 Binti wa zamani said: Muache my friend rafiki buana π Wakati tunasubiria jukwaa la wambea, anza kuupunguzia hapa hapa π View attachment 3479063 Click to expand... Ubuyu exclusive huo siumwagi kirejareja πΉπΉπΉ
Binti wa zamani said: Muache my friend rafiki buana π Wakati tunasubiria jukwaa la wambea, anza kuupunguzia hapa hapa π View attachment 3479063 Click to expand... Ubuyu exclusive huo siumwagi kirejareja πΉπΉπΉ
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,084 Sep 26, 2025 Thread starter #406,006
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,488 Reaction score 65,833 Sep 26, 2025 #406,007 Fake P said: π€£π€£π€£ Kitengo unaenda kozi mwaka mzima, kupiga visahani tuπ€£π€£π€£ Click to expand... Ila nitainjoy safari tu π
Fake P said: π€£π€£π€£ Kitengo unaenda kozi mwaka mzima, kupiga visahani tuπ€£π€£π€£ Click to expand... Ila nitainjoy safari tu π
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,488 Reaction score 65,833 Sep 26, 2025 #406,008 GWAMAKA USWEGE said: Tumoghele Forever Ngeta Kanunu My Hommie. π Click to expand... Hii nyimbo tamu sana aseee
GWAMAKA USWEGE said: Tumoghele Forever Ngeta Kanunu My Hommie. π Click to expand... Hii nyimbo tamu sana aseee
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,312 Reaction score 79,996 Sep 26, 2025 #406,009 nikuweke said: Na vi wimbo ππ Naipa nafsi hope π€ͺ View attachment 3478953 View attachment 3478952 View attachment 3478954 Click to expand... Nyimbo Kali sana hizi π₯
nikuweke said: Na vi wimbo ππ Naipa nafsi hope π€ͺ View attachment 3478953 View attachment 3478952 View attachment 3478954 Click to expand... Nyimbo Kali sana hizi π₯
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,437 Reaction score 54,924 Sep 26, 2025 #406,010 Mimi hapa mfanya Famigation PB
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,312 Reaction score 79,996 Sep 26, 2025 #406,011 Poor Brain said: View attachment 3479496Mimi hapa mfanya Famigation PB Click to expand... Masta Leo nilikuwa kitaani kwenu
Poor Brain said: View attachment 3479496Mimi hapa mfanya Famigation PB Click to expand... Masta Leo nilikuwa kitaani kwenu
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,437 Reaction score 54,924 Sep 26, 2025 #406,012 Vincenzo Jr said: Masta Leo nilikuwa kitaani kwenu Click to expand... Seriously ulikua hapa.... Daaah daaaah mbona ujanipanga na mi nilikua kwa kikao cha familia huko... Kuna mdogo etu anaoa πππππ
Vincenzo Jr said: Masta Leo nilikuwa kitaani kwenu Click to expand... Seriously ulikua hapa.... Daaah daaaah mbona ujanipanga na mi nilikua kwa kikao cha familia huko... Kuna mdogo etu anaoa πππππ
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,312 Reaction score 79,996 Sep 26, 2025 #406,013 Poor Brain said: Seriously ulikua hapa.... Daaah daaaah mbona ujanipanga na mi nilikua kwa kikao cha familia huko... Kuna mdogo etu anaoa πππππ Click to expand... Ndio pale nilipopita nikakuta Kuna watu wengi πππnilikuwa na vijana wangu wa dawasco na dawasa tunapiga kazi kuanzia Chamazi to kiponza
Poor Brain said: Seriously ulikua hapa.... Daaah daaaah mbona ujanipanga na mi nilikua kwa kikao cha familia huko... Kuna mdogo etu anaoa πππππ Click to expand... Ndio pale nilipopita nikakuta Kuna watu wengi πππnilikuwa na vijana wangu wa dawasco na dawasa tunapiga kazi kuanzia Chamazi to kiponza
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,437 Reaction score 54,924 Sep 26, 2025 #406,014 Vincenzo Jr said: Ndio pale nilipopita nikakuta Kuna watu wengi πππnilikuwa na vijana wangu wa dawasco na dawasa tunapiga kazi kuanzia Chamazi to kiponza Click to expand... Unaona sasa an tunaweza kuwa tunaoishana mitaani huko hivi hivi bila hata kujuana... Assume unge shout POOR BRAIN ahahahah ππππππ
Vincenzo Jr said: Ndio pale nilipopita nikakuta Kuna watu wengi πππnilikuwa na vijana wangu wa dawasco na dawasa tunapiga kazi kuanzia Chamazi to kiponza Click to expand... Unaona sasa an tunaweza kuwa tunaoishana mitaani huko hivi hivi bila hata kujuana... Assume unge shout POOR BRAIN ahahahah ππππππ
Ambition plus JF-Expert Member Joined Feb 23, 2018 Posts 6,403 Reaction score 12,019 Sep 26, 2025 #406,015 Winter ndio imeanza, baridi niaje Attachments IMG_2039.jpeg 379.6 KB · Views: 10
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,312 Reaction score 79,996 Sep 26, 2025 #406,016 Poor Brain said: Unaona sasa an tunaweza kuwa tunaoishana mitaani huko hivi hivi bila hata kujuana... Assume unge shout POOR BRAIN ahahahah ππππππ Click to expand... πππππ Kabisa kaka
Poor Brain said: Unaona sasa an tunaweza kuwa tunaoishana mitaani huko hivi hivi bila hata kujuana... Assume unge shout POOR BRAIN ahahahah ππππππ Click to expand... πππππ Kabisa kaka
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,527 Reaction score 830,084 Sep 27, 2025 Thread starter #406,017 Poor Brain said: View attachment 3479496Mimi hapa mfanya Famigation PB Click to expand... Mungu baba aibariki kazi ya mikono yako
Poor Brain said: View attachment 3479496Mimi hapa mfanya Famigation PB Click to expand... Mungu baba aibariki kazi ya mikono yako
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,437 Reaction score 54,924 Sep 27, 2025 #406,018 Mshana Jr said: Mungu baba aibariki kazi ya mikono yako Click to expand... Ameen mkuuu Ameen mshana jr Ameeen ameeen huna baya mkuu
Mshana Jr said: Mungu baba aibariki kazi ya mikono yako Click to expand... Ameen mkuuu Ameen mshana jr Ameeen ameeen huna baya mkuu
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 46,981 Reaction score 129,178 Sep 27, 2025 #406,019 Lamomy said: Min babu jinga πΉπΉ Nna ubuyu unaniwasha ngoja nikamwambie Max aweke jukwaa la wambea ili niflow huko..!! Click to expand... Una maanisha mimi?
Lamomy said: Min babu jinga πΉπΉ Nna ubuyu unaniwasha ngoja nikamwambie Max aweke jukwaa la wambea ili niflow huko..!! Click to expand... Una maanisha mimi?
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,235 Reaction score 86,945 Sep 27, 2025 #406,020 min -me said: Una maanisha mimi? Click to expand... Ndio kiongozi ππΉ