binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,119
- 34,435
Shangazi niko lele lele.Weuuwwwe😍😘,. Hatimaye na Mimi nimepata shangazi
Hiyo cake ni nzuri nimeipenda. Cravings zimekick-in.
Shangazi niko lele lele.Weuuwwwe😍😘,. Hatimaye na Mimi nimepata shangazi
Ngoja Kesho likiwaka jua nifanye maajabu😂🤸Lee wewe huwa unatupunja sana...
Unatupiga kalenda kama CCMNgoja Kesho likiwaka jua nifanye maajabu😂🤸
Abroad ya Njombe😀😀Hapa bila shaka ni abroad
Karibu nyumbani shangazi,. Wenyewe tuko yente yente kukupokea 🤸Shangazi niko lele lele.
Hiyo cake ni nzuri nimeipenda. Cravings zimekick-in.
Hot enough to fry somebody’s son!? 😉It's so hot in here...
Hahaha Dah!😂Unatupiga kalenda kama CCM
Huwa naimagine nikiishi na a baker, hivi si huwa mnafaidi sana zile anazotoa toa pembeni pembeni sijui zaitwaje…. Kama kwenye wali ule ukoko 😅Karibu nyumbani shangazi,. Wenyewe tuko yente yente kukupokea
Wifi yako atakua anakutengenezea kila siku ni wewe Tu kumwambia umeamka na flavour gani kichwani😻😋 ( This woman can make you anything isipokua a human being)
Njombe gani hiyo mbona nzuri hivyo ?Abroad ya Njombe😀😀
Nikitupia naogopa Kuna mtu atanisema kitambi changu 😃😃Vincenzo Jr tajiri tupia
Njombe TownNjombe gani hiyo mbona nzuri hivyo ?
Sio Tu za pembeni,. Ukibaki mchanganyiko anawatengenezeeni vidogo vidogo vya kunywea na chai 😋😂😂Huwa naimagine nikiishi na a baker, hivi si huwa mnafaidi sana zile anazotoa toa pembeni pembeni sijui zaitwaje…. Kama kwenye wali ule ukoko 😅
Asante kwa kunikaribisha sangasi (kikwetu tunaitwa hivi)
Pako vizuri sanaaNjombe gani hiyo mbona nzuri hivyo ?
Aaiii nimeanza kulia navopenda plain cakes 😍Sio Tu za pembeni,. Ukibaki mchanganyiko anawatengenezeeni vidogo vidogo vya kunywea na chai 😋😂😂
That pic definitely caught me off guard.Hot enough to fry somebody’s son!? 😉
Ebu tuoneNikitupia naogopa Kuna mtu atanisema kitambi changu 😃😃
Labda kesho nikiwa zangu nachezea mchanga baharini 😎😎Ebu tuone
Sawa tajiriLabda kesho nikiwa zangu nachezea mchanga baharini 😎😎