Selfika na JF: Snap it. Show it

Hongera Kwa hatua hiyo Mkuu!

Kama hautajali, ningependa nifahamu hizo kazi zako zinahusiana na mavazi ama nini?


Kila la heri though 👏👏👏
 
Hongera Kwa hatua hiyo Mkuu!

Kama hautajali, ningependa nifahamu hizo kazi zako zinahusiana na mavazi ama nini?


Kila la heri though 👏👏👏
Hapana mkuu nilikua na management tuka shindwana, sababu mashrti niliangalia future nikaona Hawa watan chelewesha, nijisimamie mwenyewe, fashion design ni gharama Kuna vitu natakiwa ninunue na vitendea kazi ikawa ngumu, hivo nikaona nianze na modelling kwanza mengine baadae
 
Kila la heri Mkuu

Tayari nimehifadhi tarehe uliyoitaja, kwaajili ya kuona kazi zako 👊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…