Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,201
Nakazia.Maneno meengiii..chat na picha hukoo..
Nakazia.Maneno meengiii..chat na picha hukoo..
Naomba tuanze na weweNakazia.
Oke oke.Naomba tuanze na wewe
Now I really have to see it..No basi umechanganya madesa ndiyo maana umekataa kuwa haujafanana na huyo kaka
Hilo tangazo linaonesha mkaka amekaa anafuatisha kuimba wimbo wa Drake wa "hotline bling" ule mstari unaosema "ever since I left the city you" hiyo "you" sauti ya mdada kwa pembeni ikamalizia kwa kuvuta halafu yule kaka akabaki anasmile tu
Oke oke na kapicha ukoOke oke.
Kadada kazuri haka



lol eti 'ujione'
Now I really have to see it..
Ngoja niitafute 'nijione'
Kwani haijakuja?Oke oke na kapicha uko
ShikamooKwani haijakuja?
Marahabaaaa! Hujambo?Shikamoo
Sijambo. Hivi viatu vyangu umeshanikusanyia au?Marahabaaaa! Hujambo?
Kwani ni vingapiSijambo. Hivi viatu vyangu umeshanikusanyia au?



Vyote. Na zile pochi upunguzeKwani ni vingapi
Si ni kile kimoja tu?
Haijakuja eti..Kwani haijakuja?
Nikiwa mkubwa mkubwaaaa..nataka niwe mzuri Kama wewe..Asante jamani mpenzi...


Yamekusibu yapi?
Neema za allahKwa udhamini wa googleView attachment 1286383
Afadhali nimepita hapa kwa wakati! Dah...jamani hicho kifua....Kwa udhamini wa googleView attachment 1286383