Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,968
- 12,435
Mitaa ya kujidai kiloleni halafu masagala shamba, niache mkuu wewe ni rais wangu wa majobless pro max hiyo heshima inatosha ๐niite chief basi, maana kuni ita mboka manyema bila heshima yangu una kosea.
Utawala wa ki chief unge endelea kuwepo, huyu Kapachino ninge mgeuza mbeba matunda kunigwa.
hahaha najua Sana, sitaki kuongea mengi nisije haribu code ๐Mitaa ya kujidai kiloleni halafu masagala shamba, niache mkuu wewe ni rais wangu wa majobless pro max hiyo heshima inatosha ๐
Halafu kwanza mpango wa siri ni kufanya Tabora kuwa nchi huru, sidhani kama huu mpango unaujua? ๐๐๐
Basi tuvunge ile kwetu sisi ni nchi ๐hahaha najua Sana, sitaki kuongea mengi nisije haribu code ๐
Dynamic wide mkuuOya Razorblade, Selikavu nime haribu setting za camera kwenye game, ipi ni nzuri dynamic wide, wide au zile nyingine?
Hata mimi nime ona hiyo, maana zile fan view, sijui wide, mara vertical ni jau๐๐Dynamic wide mkuu
Ngoja aje Selikavu hajawahi kubaliana na mimi ๐๐๐Hata mimi nime ona hiyo, maana zile fan view, sijui wide, mara vertical ni jau๐๐
Hapa na force kutangaza ubingwa kwa Liverpool,Ngoja aje Selikavu hajawahi kubaliana na mimi ๐๐๐
Halaaand 2-1Ngoja aje Selikavu hajawahi kubaliana na mimi ๐๐๐
Pigana vita hiyo.Hapa na force kutangaza ubingwa kwa Liverpool,
maana yeye ndiye wa 2, na nime muacha 4 points.
Chapa hao halafu ukimaliza unaselfisha matokeo humu ๐Halaaand 2-1
3-1 halaand 2, salah 1Chapa hao halafu ukimaliza unaselfisha matokeo humu ๐
Nishaziasau za PES kwel kitambo ๐๐Oya Razorblade, Selikavu nime haribu setting za camera kwenye game, ipi ni nzuri dynamic wide, wide au zile nyingine?
Master league au??Hapa na force kutangaza ubingwa kwa Liverpool,
maana yeye ndiye wa 2, na nime muacha 4 points.
Yan unamzidi mtu wa pili point nne ukidraw ukafungwa umeenda yoo...๐๐angalia ma master hapaHapa na force kutangaza ubingwa kwa Liverpool,
maana yeye ndiye wa 2, na nime muacha 4 points.
Zime fika 11, fainali ya fa, hii ni league sio game uchwara ๐๐Yan unamzidi mtu wa pili point nne ukidraw ukafungwa umeenda yoo...๐๐angalia ma master hapaView attachment 3466189
ewaa, mziki wake wa ๐ฅ ๐ฅMaster league au??
League nakaza mno๐๐wajinga wanaponda bhana๐๐Zime fika 11, fainali ya fa, hii ni league sio game uchwara ๐๐
halaand goli 29 league.League nakaza mno๐๐wajinga wanaponda bhana๐๐