Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe na wewe unaongea haraka??
Sema mimi nahisi sababu ya kigugumizi ndo maana naongeaga haraka haraka
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
I know it sounds weird, mimi mwenyewe niliishiwa na pozi: It was weird [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimeenda nyumbani kwa mchizi wangu dada yake hanifahamu, ile natoka akanifuata akaniuliza jina. Kachupa kadogo tu, kana bei kubwa hako na mpaka leo sijaona perfume iliyowahi nivutia kama ile.
 
Okey.
 
Haha no mie sina kigugumizi,, ila basi tu sijui kwanini huwa naongea haraka halafu nina bass sasa.. double trouble kama siyo triple threat maana kuongea haraka tone mbaya mixer na bass mambo yanakuwa ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kumbe na wewe unaongea haraka??
Sema mimi nahisi sababu ya kigugumizi ndo maana naongeaga haraka haraka
 
Mwandiko wako tu wajeiefu waonesha umejaaliwa maneno...

Don reply back please [emoji4]
Haha no mie sina kigugumizi,, ila basi tu sijui kwanini huwa naongea haraka halafu nina bass sasa.. double trouble kama siyo triple threat maana kuongea haraka tone mbaya mixer na bass mambo yanakuwa ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Haha no mie sina kigugumizi,, ila basi tu sijui kwanini huwa naongea haraka halafu nina bass sasa.. double trouble kama siyo triple threat maana kuongea haraka tone mbaya mixer na bass mambo yanakuwa ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Byutiful...soooo byutiful πŸ˜‚πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…