binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,115
- 34,411
Naam Chief!Rangi za singida, beut.
Naam Chief!Rangi za singida, beut.
Kivipi kijana?kijana mbon umeni bluetick
nilikutumia kitu sehemuKivipi kijana?
Kitu gani kijana?nilikutumia kitu sehemu
Pole sanaaaaaaa!Mkuu.. Umeniita mimi au binti wa zamani maana watu wanatuchanganya hizi ID.
Mi bado nipo kitaa View attachment 3465142
😂😂Nimekuwahi leo, Pole kwa uzuri 😍😅
Maandishi yangu yamekaa kibonge eeh?😁Beut , kwenye fikra zangu nikajuaga kibonge😅
aaah basi kama haukuona, ni kwenye uzi flan ngoja nikakutagKitu gani kijana?
Haya 😅😂😂
Na Mimi nimekubahatisha tena na leo
Mate sogeza camera kidogo nimuone dereva 😹Mkuu.. Umeniita mimi au binti wa zamani maana watu wanatuchanganya hizi ID.
Mi bado nipo kitaa View attachment 3465142
Una karangi kazuri kama Nkamu wetu SimaraMkuu.. Umeniita mimi au binti wa zamani maana watu wanatuchanganya hizi ID.
Mi bado nipo kitaa View attachment 3465142
Huwa ninakatabia kakujenga taswira ya mtu kichwani hata kabla sijamwona , hapo kwenye ukibonge tu ndio nimekosea ila vingine nimepatiaMaandishi yangu yamekaa kibonge eeh?😁
Nkamu rudia kitambo sijakuona 😍Niliselfika😂
Vingine vipi umepatia min?Huwa ninakatibia kakujenga taswira ya mtu kichwani hata kabla sijamwona , hapo kwenye ukibonge tu ndio nimekosea ila vingine nimepatia
😀😀 tunapita lokoo na kuangalie tufungue mashitaka ya uchocheziHii doria ya kwenye computer hii!
Au nyie ndio wale wapiga doria mtandaoni? 😅
Mate wangu mbea jamani!Mate sogeza camera kidogo nimuone dereva 😹
Vilivyobaki toa ukibongeVingine vipi umepatia min?
Asantii mdogo wangu!Pole sanaaaaaaa!
Imefutika picha hadi kwenye galleryNkamu rudia kitambo sijakuona 😍