Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,311
- 37,074
Mifukoni nimetakata ngoja nikapige konyagiiii kimtindo hapa 🌝🌝Dr am 4 real PhD pombe tamu bwashee
Mifukoni nimetakata ngoja nikapige konyagiiii kimtindo hapa 🌝🌝Dr am 4 real PhD pombe tamu bwashee
Nimekuchanganya na lembu, Mzee wa Chelsea.Alafu unachanganya madesa,,,,mm sio Chelsea ni utd ,,,, tunapitia kipindi kigumu/mpito(transition) lakini tutakaa sawa tu ! 😊 😃
Yaaan nimeona nyama nyama laini teketeke yaaan kitu kienyeji flaaan amazing😹😹😹 Sasa hapo si umeona nilivyodondokea bafuni mifupa tupu..!!
Kaa kwa kutulia,,,, tunapitishwa kwenye tanuru la moto, lakini tunarudi tu kwenye ubora!😊 😃Nimekuchanganya na lumbu, Mzee wa Chelsea.
Kama ni United nyie timu ifutwe tu maana inaenda kushuka daraja mwaka huu😂😂
Ubora Gani?😂😂😂😂😂Kaa kwa kutulia,,,, tunapitishwa kwenye tanuru la moto, lakini tunarudi tu kwenye ubora!😊 😃
Hata usinipambe na mimi nataka pesa 😹We ni mgodi wa madini!
Chino akiwa nawe
lazima anukie harufu ya pesa tu.
😹😹😹 unafki haukupendezi kabisaa..!!Yaaan nimeona nyama nyama laini teketeke yaaan kitu kienyeji flaaan amazing
Mzee mwenzangu WA hall V anamacho saaaana
Punguza sauti basi Ms Liverpool😊Ubora Gani?😂😂😂😂😂
Nyie labda muanze kwenda kwa Mwamposa akawamwagie mafuta 😂😂😂
Hii man U ya sasa inaweza kupigwa hata na Majimaji FC
Nisamehe🙌🙌🙌😹😹😹 unafki haukupendezi kabisaa..!!
Yani Bado unataka zingine cute hahahaHata usinipambe na mimi nataka pesa 😹
Ukitaka nipunguze Sauti weka selfie yakoPunguza sauti basi Ms Liverpool😊
Easy flan to carry hahaha😹😹😹 unafki haukupendezi kabisaa..!!
Naweka mimiUkitaka nipunguze Sauti weka selfie yako
Mara ya 3 hii nakuomba selfie ila hutaki kuweka.
Kaka leo nimekula vitu kinouma 😅😅Naweka mimi
Mxiewwww 😹😹Easy flan to carry hahaha
Kukunjika kunjika kwenye....
Sio shida zako.
Pesa hazitoshagi chino wangu 😍🥰Yani Bado unataka zingine cute hahaha
Kuna dada mmoja aliwahi nipangishia nyumba yake nzima, naye akaenda kupanga chumba seble maeneo ya kibamba na msela wake.
Nikawa nacheka peke yangu najisemea kama jamaa alifuata mjengo wa dadaa, tiyari kaishapigwa chenga ya mwili. Wanawake ni konyo.
Lamo pombe tamu leo nimewaka mbaya mbovu arifu😅Mxiewwww 😹😹
Nikunjike samaki mimi..!!
Unakunywa pombe gani meku 😹Lamo pombe tamu leo nimewaka mbaya mbovu arifu😅