Selfika na JF: Snap it. Show it

hizo kona ni kilomita kadhaa nyuma kabla ya mbuyuni(sijui ndio panaitwa iyovi?).



 
hizo kona ni kilomita kadhaa nyuma kabla ya mbuyuni(sijui ndio panaitwa iyovi?).



View attachment 1285253
Ukiwa waelekea Iringa tokea Moro, waanza kupita Iyovi ndio hizo kona kona, then Ruaha/Ruaha Mbuyuni then Kitonga...

Iyovi, Ruaha inakutoa nyanda za kati kukupeleka ukanda wa juu ambapo ndio hapo ukishaanza ipanda Kitonga...
 
haki ya nani hivi kumbe kijiti cha arachuga ndiyo kikali hivyo?? Ngoja na mimi nitakijaribu siku moja!!

Nioneshe hebu
Hivi unajua ile pic yako nimeweka wallpaper
au unataka mpaka nikuoneshe? Yan yale macho mimi hoiiii
sema sina kaka mkubwa wa kukutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…