win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,695
- 7,925
acha basi🤣Kwa sasa ni tiktok 🤣🤣🤣
acha basi🤣Kwa sasa ni tiktok 🤣🤣🤣
Sure tena😅😅acha basi🤣
haya basi vizuri fanya kinachokupa furahaSure tena😅😅
shwari niajeesamaleko red🤣🤣🤣
fresh kabisa ndugushwari niajee
Kwani Kuna mtu anakudai mnywani.Kesho kuna pilau kwa jirani mie niponipo tu mpaka saii sijui haka kakichwa kangu ntakafanyeje sina kiuno cha kukaa kusuka na seleka zitaanza mapema sana!
Lovelovie ephen_ min -me naombeni mwongozo pulllliiiiiiiizzzz!!!
Mtanibip kunijuza nifanyeje nimechoka narrarra mieeh!!
Kesho nayo siku wapendwa 💤💤💤💤😴😴😴😴😴😴
Nipo unataka kupita
Ca vafresh kabisa ndugu
Sipiti ila nataka tuchatiNipo unataka kupita
Pokea salamu toka itobo- bukenefresh kabisa ndugu
Sawa RasSipiti ila nataka tuchati
salamu nimepokea ila kwanini ume-zichelewesha?Pokea salamu toka itobo- bukene
lugha gani hizi tenaCa va
frenchlugha gani hizi tena
aaah hiyo hapan mi nabaki zangu nalugha ya taifafrench
sema Ca va bien
😃😃😃 huyo bby wako mbn hatokeiaaah hiyo hapan mi nabaki zangu nalugha ya taifa
Sababu tongo tongo ni nyingi machoni I!salamu nimepokea ila kwanini ume-zichelewesha?