Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,136
- 6,058
Hamna kazi pale maneno kibaoo mwisho wa siku hata Kombe moja hamnaMimi hata siwafikiriagi kabisa😅
Hamna kazi pale maneno kibaoo mwisho wa siku hata Kombe moja hamnaMimi hata siwafikiriagi kabisa😅
Ni leo tu Vilio vikianza tutakuwa hapa kukucheka 🤣🤣🤣🤣🙌leo napumzika kwa amani sana 😂😎
Mtaniona sasa 😅Ni leo tu Vilio vikianza tutakuwa hapa kukucheka 🤣🤣🤣🤣🙌
Si unaona umeshinda ila hauna hata Raha 🤣🤣🙌 hiyo timu itakuja kukupa presha ufwariki hamia chama la wana Man UTD 🥰😂😂 Haya bwana
Awapi 🤠🤠🤠 utakuwa unasomea kwa mbaaaaliiMtaniona sasa 😅
Kelele zote hzo ila mtamaliza wa kumi na nne 😁Si unaona umeshinda ila hauna hata Raha 🤣🤣🙌 hiyo timu itakuja kukupa presha ufwariki hamia chama la wana Man UTD 🥰
Ntakuwa nawazoom tu 😁Awapi 🤠🤠🤠 utakuwa unasomea kwa mbaaaalii
Sisi chama kubwaa si umeona hata nyie mlikuwa mnatuombea tusishuke daraja🤣🤣Kelele zote hzo ila mtamaliza wa kumi na nne 😁
Furahia tu sahivi vilio vikianza 😁😁 nitakuwa nakukumbushaNtakuwa nawazoom tu 😁
😅Furahia tu sahivi vilio vikianza 😁😁 nitakuwa nakukumbusha
Safi sana mkuu maisha ndio hayo bwashee
Kabisa muhimu sheri tuna enda woteSafi sana mkuu maisha ndio hayo bwashee
Mimi now ni mwendo wa baiskeli tu😅Kabisa muhimu sheri tuna enda wote
Una tafuta pumzi sio 😂😂Mimi now ni mwendo wa baiskeli tu😅
Hahaha kwa sasa sina gariUna tafuta pumzi sio 😂😂
Ujataka tu boss hili la urithiHahaha kwa sasa sina gari
Gari ni muhimu sana .Ujataka tu boss hili la urithi
Hahaha..........nitakushawishi ukatiki Kwa bucket 2 za beer 🤗Sitiki mkuu😆
Hahahaha ziwe bia za maana tu , sio local babu🤣Hahaha..........nitakushawishi ukatiki Kwa bucket 2 za beer 🤗
Hamuwezi kutuachia Wazee peke yetu ndiyo twende kutiki hiyo Oktoba 😜