min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,587
- 164,827
Hahahaha ziwe bia za maana tu , sio local babu🤣Hahaha..........nitakushawishi ukatiki Kwa bucket 2 za beer 🤗
Hamuwezi kutuachia Wazee peke yetu ndiyo twende kutiki hiyo Oktoba 😜
Hahahaha ziwe bia za maana tu , sio local babu🤣Hahaha..........nitakushawishi ukatiki Kwa bucket 2 za beer 🤗
Hamuwezi kutuachia Wazee peke yetu ndiyo twende kutiki hiyo Oktoba 😜
Unanicheka kuwa na baiskeli 😅😅😅Kiwanda cha vumbi Tanzania
Naona upo unatuchora tu wenye Baiskeli au sioUnanicheka kuwa na baiskeli 😅😅😅
Nipo nyuma yako,ng'ambo ya 2
Nakuja unipe chuma moja na mimi nivimbe mjini😊Naona upo unatuchora tu wenye Baiskeli au sio
KaribuNakuja unipe chuma moja na mimi nivimbe mjini😊
OK tuta drive hivyo hivyo tu😊Karibu
Chuma changu ni mguu wangu na kandambili😂😂😂
Mimi hata kudrive sijui
Najua tu Baiskeli na Boda basi.
Vijora ndio nini ? Nasikia kila siku ukiviuza🤔Mchezo wa vijora kutoka baada ya siku tatu kila siku afu tatu..!! 😹😹
Leteni majina nishushe mkeka 🤣
Mselfike na vijora pambe picha zinoge waungwana 😹🤣
Nini?OK tuta drive hivyo hivyo tu😊
Anko T anasema mdada kila siku kijora hichohicho hadi kimechanika begani kuonyesha kwamba kimekuchoka😂Mchezo wa vijora kutoka baada ya siku tatu kila siku afu tatu..!! 😹😹
Leteni majina nishushe mkeka 🤣
Mselfike na vijora pambe picha zinoge waungwana 😹🤣
😹😹🤣 hizi raha za uswazi bana wa kishua mtajulia wapi?Shengesha ni msamiati mpya tena ,ibumex ni parody la kale anazuga tu huyo
Kijora mpk kinasimama kinatoa shikamoo 😹😹😹Anko T anasema mdada kila siku kijora hichohicho hadi kimechanika begani kuonyesha kwamba kimekuchoka😂
Vyote tuNini?
Baiskeli au boda?
Sawa bhana😹😹🤣 hizi raha za uswazi bana wa kishua mtajulia wapi?