Lol mie nimembakiza last born wetu ndiyo wamefunga ameenda home leo,, till 2021 ndiyo tunakamilisha.. anayenifuata naye alisoma hapo ila alimaliza mwaka jana now yuko chuo
Hivi ukiua kwa kutokusudia unasema ilikua man slaughter sio....na je mshtakiwa kama akitoa ahadi wakati ana furaha au kalewa tunasema hakuwa na free consent ehh
Hivi ukiua kwa kutokusudia unasema ilikua man slaughter sio....na je mshtakiwa kama akitoa ahadi wakati ana furaha au kalewa tunasema hakuwa na free consent ehh
we dogo nani anaongea kwa kuremba? Yan pale ujue nilikukazia sauti?
Afu sipati picha huko kuongea haraka haraka plus Yale macho yako mlegezo kama nakuonaa vile huwa unarembua