πΉπΉπΉ
Yani nimecheka, babe wangu nilimtibua akaniblock na mimi nikadelete namba zake..!!
Baada ya siku 3 ananipigia anasema unaendeleaje swilati? Nikamuuliza wewe swilati yupi? Akasema nakuja kukuua Lamomy acha ungese..!! πΉπΉπΉ
Nikamwambia bana wee km hujitambulishi nakukatia simu. π€£
Dakika mbili huyu hapa kaja kufumania..!! πΉ
Sasa mi kosa langu nini? Ukiniblock nakueka kundi la maex kiroho safi..!!