Selfika na JF: Snap it. Show it

bonge la dada anatakiwa awe amefungasha nyuma, sasa mimi ni afu lela ulela🀣🀣🀣🀣
Nyie ambao hamjitangazi kama mmefungasha mnakuwaga na balaa sio poa...
Hebu tupia kwanza moja tuhakiki kwenye V.A.R..
 
Hakuna sifa za uongo nikikusifia mimi, nina marafiki zangu ephen_ na Lamomy hawa wakiungana namwaga pesa jf kama sina akili nzuri , natamani sana hawa watu wawe fear tu
Wewe mimi sina ugomvi na mtu, ushaanza kulewa Ita bodaboda ya mama Samia ikurudishe home..!! 😹😹😹
 
Mimi nitamfanyia usafi chumbani nishawahi 😹😹😹
Wewe ukifanya sitting room sio mbaya 🀣

Coca ataosha vyombo jikoni..!! 😹
Sitting room pambe tu, nikichoka makochi na mazulia yanafaa kupumzikia πŸ˜‚
Ila mbona kama tutakua wengi, au tupangiane zamu tu πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…