Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeona Maka 😍😍😍
Ila uko muhanshamu maka πŸ₯°

Kumbe humu kuna mikaka mizuri na hamsemi kwanini?? 😊
Hamtaki tumix blood 🀣

Ila inaonekana wewe ulikua unawabambia wenzio skonga 😹
Nashukuru kesi imeisha lamomy

We mwaume hawi mzuri, tengua kauli

A level, nimesoma shule ya midume tupu
 
Yeah now mimi ni mwembamba coz nakunywa pombe kali now na tizi, hizi picha natuma siku za karibuni na za kipindi cha nyuma ila za kipindi cha nyuma jana nimefuta zote ,hivyo nizoee tu ila nashangaa iweje wewe uhoji wakati hadi sura unanijua?
Sikumbuki sura, nilifuta picha zenyewe nilidhani sio wewe unanipanga tu.
 
Maka 😍😍😻

Binti wa zamani we mshangazi unapitwa huku, hivi Maka umemuona?

Yani vile vitu vyenye tunavipenda wadada Maka anavyo sasa full package ohhh 😻😻
Limaka lizuri nyie πŸ˜‹πŸ˜‹

Halafu lina rangi nzuri sio white sio black yani rangi imeni turn on..!! πŸ₯°
 
Yeah now mimi ni mwembamba coz nakunywa pombe kali now na tizi, hizi picha natuma siku za karibuni na za kipindi cha nyuma ila za kipindi cha nyuma jana nimefuta zote ,hivyo nizoee tu ila nashangaa iweje wewe uhoji wakati hadi sura unanijua?
Kumbe na sura mnatumiana 😜
Haya tuwekee na sisi sura tuone 😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…