Kama kosa la macho π₯Ή
Hata mkiziba nsimuone π
Ndani ya moyo wangu namuona yeye β€οΈπ
Oooh kimaso maso wenye wivu mukome π
Mtaambulia matandu solo nala na yeye π»
Na mkisema ananichuna ntampa paka BOTπ°
Kama penzi taaluma basi ye ana degree π
Kwake simezi mezi azuma kitu swafi og π
Midomo itawanuka kwa kununa π
Mngetafuna ata bigijiiβ¦. π‘