πΉπΉπΉ Falah weehβ¦!!Na wakati mwingine bichwa unalibana na mapaja mpaka anabembeleza na machozi umpanulie kidogo.
Yani kichwa hicho hicho ndiyo kikasimamie maisha yangu, hapana kwa kweli π π
Aaaah wewe mbona kishaeleweka.
Hela ikikaa kihasara hasara mm napita nayoπ π
Hivi na jero ipo? πΉMe naomba tu hako ka lip therapy
Na jero Hiyo sikuiona hapo chiniππ
Bichwa km bichwa πΉπΉAaaah wewe mbona kishaeleweka.
Mimi sina kitu, acha niende nikajichotee kwenye wallet ya bichwa π
Anakoroma tu, hapa hata nikichukua mpaka nguo zake za ndani, kauli hana π πBichwa km bichwa πΉπΉ
πΉπΉπΉ Mwachi akiona pesa anachanganyiwa..!!Akiiona Mwachiluwi ataitaka,
Bora we una liten nauli kabisa hiyo,
Me na afu mbili yangu sijui naingilia wapiππππ
Hapo naona 2500 napata gb 1 na dakika 55 mitamdao yoteAah Ile Ile ya Yas tajiriiiiii,.
Me nimemwaga pochi hapa naona mapicha pichaView attachment 3437282
Njoo uchukue πΉNaiomba iyo 10k naona ina zagaa imekaa kihasala sna ππ
Aaah hiyo mirenda asubuhi hii ni kukaribisha njaa tu jirani,.πΉπΉπΉ Mwachi akiona pesa anachanganyiwa..!!
Hiyo afu mbili mbona unyama unanunua bamia unakoroga mlenda ki waifu material kabisaa..!!
Bajeti ya 2000πΉπΉπΉ Mwachi akiona pesa anachanganyiwa..!!
Hiyo afu mbili mbona unyama unanunua bamia unakoroga mlenda ki waifu material kabisaa..!!
Namtuma boda boda chapNjoo uchukue πΉ
Eti Gb Moja na dakika 55,. Yaani ushapiga hesabu kabisa mwe!ππHapo naona 2500 napata gb 1 na dakika 55 mitamdao yote
Ndio bado kuingia ili ili nijiunge sasa ππEti Gb Moja na dakika 55,. Yaani ushapiga hesabu kabisa mwe!ππ
πΉπΉπΉ Wewe uko vizuri unajichukulia mshiko kwa bichwa..!!Anakoroma tu, hapa hata nikichukua mpaka nguo zake za ndani, kauli hana π π
Yeesoo!Bajeti ya 2000
Dagaa za jero
Bamia 200
Nyanya chungu 300
Nyanya 300
Kitunguu 100
Unga wa dona robo 700
Ahahah sio kupanga tu kuoa na kumpa hela mwanamke aende sokoni πYeesoo!
Hayo mahesabu hesabu ndio yanafanya nishindwe kwenda kupanga
πΉπΉπΉ Sa soda utashushia na nini?Aaah hiyo mirenda asubuhi hii ni kukaribisha njaa tu jirani,.
Wala sitaki Bora ninywe soda
Na chapati na viazi vya mama LeejayπππΉπΉπΉ Sa soda utashushia na nini?