Selfika na JF: Snap it. Show it

Shangazii nifundishe kupikaa, au unataka ukose ankoliii?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwali ww ukikosa kuachwa kwa kupka bas umbea utakarudisha mwali wangu aya uje sasa tuone tunafanyajeπŸ˜€
 
Mwali ww ukikosa kuachwa kwa kupka bas umbea utakarudisha mwali wangu aya uje sasa tuone tunafanyajeπŸ˜€
Shangazi hapo kwenye umbea, mbna mapema sanaa. Shangazi nije tuone inakuaje, naitaka ndoa atiii.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lamomy Pitisha kitu tu shwaaa, dakika moja tu unafuta πŸ˜‚ πŸ˜‚

View attachment 3437243
@L
Hapo sasa awwww 😍😍😍
Hii body na nyuzi zako swadaktaa πŸ₯°

Wewe sio kungwi ila mtaalamu wa mahaba, hiko kiuno km nyigu jamani shem anamwaga had akili zote alizobakiza za kuvukia barabara..!! 😹

Nyie wanaume mnafeli wapi?
Totroo km hili lipo humu na mmenyamaza hamsemi kitu?? Au hamdindi? 😹
Km pesa hamna mseme niwakopee mkaonjepo, au mguse hata shavu mi roho inaniuma mjue!! πŸ₯²
 
Daaah nimecheka kama fala πŸ˜‚ πŸ˜‚ anabakia na akili za nini?
 
😹😹😹 Za kuvukia barabara wakati anakuwahi wewe umpe utramu..!! 😜
Akifika nikamkamata, namtemesha na ubongo kabisa, hata akili za kuvukia barabara simuachii.
Hawa wenye vikojoleo visivyo na shukrani ukiwaachia akili hata kidogo wanakusumbua.
 
Akifika nikamkamata, namtemesha na ubongo kabisa, hata akili za kuvukia barabara simuachii.
Hawa wenye vikojoleo visivyo na shukrani ukiwaachia akili hata kidogo wanakusumbua.
Wanaume mambwa yani anasokomeza mbichwa wake analamba papa 😹😹
Na wanawake tunalikamatia bichwa lisitoke afyonze vyote asiache kitu..!!

Halafu ndo kiwe kichwa cha familia hiko? Kinashikiwa akili na papa?? 😹😹
Tutayaendesha mpk yajirekebishe 🀣
 
Vizuri hivyo viazi au?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Pale ambapo ulijifungia ndani kulewa halafu unaamka hamna hata supu dadekπŸ˜‚,.
Nikapange tu sasa....
Na vimayai na chai ya maziwa 😍

Pole, ongea vizuri na kaka Mwachi hapo ukajipatie supu nyumbani kwake, hakosagi nyama nyama huyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…