Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mie nawaelewa sana black American, au wale black gangsta km wapopo au wa south.
Wananirusha sana stim,
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shekh nipo hapa; nije na ubani wangu nimalize swala lako na meku.
 
Wewe una undugu na Anko T
Hebu kamuulize vizuri πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna mtu aliwahi nambia, siku tukae mie na Anco T tuchambane,
Kuna maneno mapya yataibuka ambayo hayajawahi kusikikika
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wee huyo ana wake humu ndani, naogopa kupopolewaa. Lol
Wewe eng mbabe wavita...

Hamna wakukupopoa humu

Mimi kwanza takulinda Kwa lolote lile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…