Dotnata wee ๐น๐น๐๐๐๐๐๐
Ila Anko T ana maneno
Eti sapampa mchezo
Afu anamalizia nyokolilonyonyoko๐
Bibi weeeDotnata wee ๐น๐น
Nikimuona naona km namuona coca vile na maneno yao..!!
Nkamu mbona hii km unanisema mimi ๐น๐นBibi weee
Eti unazaa utadhani unashindana michezo ya umisenta sijui umitashumntA
Anamalizia na cheko lake hooohoy๐๐๐๐๐
Umeona ile ya wadada wa Dodoma eti wamepauka hawapaki mafuta๐๐๐
Hahahaha kumbe๐ด๐ถ๐ต๐ฐ๐ธ
Anko T anasema mtu ana uwezo kidogo mzalie kidogo mtoto mmoja tuNkamu mbona hii km unanisema mimi ๐น๐น
Hivi watu kuzaa wameeka sifa?
Halafu kila mtoto na baba yake na wote choka mbaya..!! ๐น
Hii imeenda ๐น๐น๐นAnko T anasema mtu ana uwezo kidogo mzalie kidogo mtoto mmoja tu
Pea 1 ya soksi tabu ila unamzalia kama umechanganyikiwa,
Asubuhi pua hilo limevimba, mchana pua limevimba jioni pia limevimba
We mtotoo๐๐๐๐๐๐ฟ
Anko T anajua kuchamba jamani
Eti baadaye watoto wanakufunika na mito puani unakufa๐๐๐๐๐
Anko T sio mtuHii imeenda ๐น๐น๐น
Wadada wa Dom wamefanya nini tena? ๐นAnko T sio mtu
Domo lake linachamba balaa๐๐๐
Hii ya wadada wa Dodoma nimecheka
Eti hawapaki mafuta usoni, wanasingizia jua kaliWadada wa Dom wamefanya nini tena? ๐น