shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,162
- 10,377
Nyati nae analiwa?Hapana huyu ni pofu mtamu sana nyama yake laini nyati simkubali kabisa
Nyati nae analiwa?Hapana huyu ni pofu mtamu sana nyama yake laini nyati simkubali kabisa
Analiwa ilaNyati nae analiwa?
Top 2 ya nyama unazozipenda ni ipi?Analiwa ila
Mm sijawai mla na sijawai shawishika
Pofu na swala afu kuna tandaraTop 2 ya nyama unazozipenda ni ipi?
Hali ya hewa nzuri sana hiyoMie nipo,
Anne macake upo?
Huku shamba kwetu,Hadi kimvua.
Nyama yake haina tofauti na ya ng'ombe japo ni nyeusi. Na inabidi uipike kwa muda mrefu ilainike. Ni nyama moja safi sana!Nyati nae analiwa?
Nzuri😁Hali ya hewa nzuri sana hiyo
Icho ndicho sipend una tumia mda mrefu pia lazima utumie viungo vingi ili kukata shomboNyama yake haina tofauti na ya ng'ombe japo ni nyeusi. Na inabidi uipike kwa muda mrefu ilainike. Ni nyama moja safi sana!
UsijaliBaki nayo tu ila siyo ikae hapa 😀😎
Mimi Huwa nakula Tu sijuagi ipi ni ipi!Nyama yake haina tofauti na ya ng'ombe japo ni nyeusi. Na inabidi uipike kwa muda mrefu ilainike. Ni nyama moja safi sana!
Mambo mengi sana humu RasUsijali
Hata usiwajaliMambo mengi sana humu Ras
🤠 ngoja niishi hivyoHata usiwajali
Shibe selfikaMimi Huwa nakula Tu sijuagi ipi ni ipi!
Wewe jeHalla Green City
Baridi🙌💔
Tulia hapo hapo🤗🤗🤗🤗Shibe selfika
Nasubiri Mrs mwachiTulia hapo hapo🤗🤗🤗🤗
Mimi ndio aliyepiga pichaWewe je