min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,262
- 127,111
Mda ndio huh bwasheeTutaji'selfisha' baada ya kazi!
Mda ndio huh bwasheeTutaji'selfisha' baada ya kazi!
Ndiyo, huu ndio muda wa kazi haswa!Mda ndio huh bwashee
Hahahaha kufanya kazi sio lazima ujibane bwashee, mbona mimi nipo bar mea wote na sijawahi kosa ugali ?🤣🤣🤣Ndiyo, huu ndio muda wa kazi haswa!
Usidanganywe kuwa kuna muda zaidi ya huu ulioPo.
Selfika hapohapo kazini MkuuTutaji'selfisha' baada ya kazi!
Useme haujaona
Wewe una malengo uliyo jiwekea; nami ninayo yangu; tofauti kabisa na yako!Hahahaha kufanya kazi sio lazima ujibane bwashee, mbona mimi nipo bar mea wote na sijawahi kosa ugali ?🤣🤣🤣
Nakufuatilia sna bro , kwenye siasa unapiga pini Sana, karibu tule pombe na kufurahia uhai bwashee 😅Wewe una malengo uliyo jiwekea; nami ninayo yangu; tofauti kabisa na yako!
Sote tukifanikiwa kuyatimiza, ndiyo neema kwa Tanzania yetu.
Picha yenye majasho mengi ya nini? Haipendezi.Selfika hapohapo kazini Mkuu
Kazi na picha😊
Naona hunijui. Ninao huhai tele; amini nikikueleza hilo.Nakufuatilia sna bro , kwenye siasa unapiga pini Sana, karibu tule pombe na kufurahia uhai bwashee 😅
Safi mkuu , humu ni amani tu bro😅Naona hunijui. Ninao huhai tele; amini nikikueleza hilo.
Nipo , nipe niongeze na mimi
Dk moja ShwaaNipo , nipe niongeze na mimi
Chap kimasta sasaDk moja Shwaa
Usifute kali please
Nishafuta 😀Usifute kali please
Hiyohiyo ndio nzuriPicha yenye majasho mengi ya nini? Haipendezi.
Rudisha chika mimi kaka yako ujue🥲Nishafuta 😀
Mkuu 'Mshana jr'; naomba utuwekee mrejesho wa P icha hii baada ya miezi sita ijayo. Hiyo itakuwa kama January 2026 hivi!
Si ushaona? Kila picha nisifute 🤠 si zitajaa humu 😀🤠Rudisha chika mimi kaka yako ujue🥲
No hiyo moja acha kwa ajili ya kaka yako pleaseSi ushaona? Kila picha nisifute 🤠 si zitajaa humu 😀🤠