Jaws
JF-Expert Member
- Jun 13, 2023
- 622
- 2,225
Unasukuma Rolls-Royce mkuu. Inasemekana hamzidi hata 20 mnaomiliki huyu mnyama hapa Bongo. Hongera sana aisee. Wachaga hamna mchezo!Picha ambayo haujaona ni hii tu
View attachment 3419934
Unasukuma Rolls-Royce mkuu. Inasemekana hamzidi hata 20 mnaomiliki huyu mnyama hapa Bongo. Hongera sana aisee. Wachaga hamna mchezo!Picha ambayo haujaona ni hii tu
View attachment 3419934
Oooh!Ni Mbeya mjini
Nina miiko yote muhimuAngel Nylon nasikia huko kwenye visiwa vya marashi ya karafuu eti ukipewa samaki ukweni ukamgeuza wakati unakula hupewi mke.. umempa ndugu yangu mwongozo?
Lete namba 😂Masta unakula maisha, hauna likaki karibu hapo ?
Picha ngumu sana. Sikumbuki ni mlima wa kwa digala pale au barabara ya kushuka kwa Mr
Futa hii reply na picha itoke rasiiHizo emoj utakosa pumzi Ras 😀
Hahaha sio gari yangu bwasheeP
Unasukuma Rolls-Royce mkuu. Inasemekana hamzidi hata 20 mnaomiliki huyu mnyama hapa Bongo. Hongera sana aisee. Wachaga hamna mchezo!
Futa hii reply bwashee 🤣🤣🤣P
Unasukuma Rolls-Royce mkuu. Inasemekana hamzidi hata 20 mnaomiliki huyu mnyama hapa Bongo. Hongera sana aisee. Wachaga hamna mchezo!
Bado una kumbukumbu 😂Picha ngumu sana. Sikumbuki ni mlima wa kwa digala pale au barabara ya kushuka kwa Mr
Yaani kame haswaKumekuwa kame sana
Hiyo ilipigwa Mbeya MkuuOooh! Nilifikiri ulikwenda Arusha!
NzuriHiyo ilipigwa Mbeya Mkuu
Zimefika sumbai ukopoa lkn
Mimi nipo jmn sana tu