100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,733
- 30,459
Push Ups 100 asubuhi na jioni sio mchezo..Nimeona kama pesa inazidi bwashee 😅
Push Ups 100 asubuhi na jioni sio mchezo..Nimeona kama pesa inazidi bwashee 😅
Nimemuona...
Safi bwashee , now napiga tizi kinouma , kwa sababu najua mimi mlevi tu🤣Push Ups 100 asubuhi na jioni sio mchezo..
Umeamua kututukana Sisi wafupi wenye vibamia weusi na tuna gubu SawaNapenda wanaume warefu ila Mungu sasa vitu anavyoni pointia simuelewi kabisaa..!!
Vijitu vifupi km vikombe vya kahawa, gubu na ukorofi sasa?? 😹😹😹
Steve Nyerere type
Wanaume warefu wekeni pic zenu..!!
Bless jukwaa sasa baada ya muda mrefu...Emoj kubwa mno Mkuu and 100 others
Utakosa hewa bure
Naiona V8 boss..Utataka nitoe emoji ili nijulikane wewe Lovelovie
Washindwe wao kuzoom 😂Kijana umejianika kinouma 🤣
Wewe twiga bana, wote walio selfika humu umetuzidi urefu..!! 😹🤣Hewani ya wapi picha tu hiyo mama😁😁
Nakuona nakuona afisaaa
Ujaona yanguNapenda wanaume warefu ila Mungu sasa vitu anavyoni pointia simuelewi kabisaa..!!
Vijitu vifupi km vikombe vya kahawa, gubu na ukorofi sasa?? 😹😹😹
Steve Nyerere type
Wanaume warefu wekeni pic zenu..!!
Punguza hiyo emoj kwanzaBless jukwaa sasa baada ya muda mrefu...
😂😂😂😂Woiiii si kweli kabisaWewe twiga bana, wote walio selfika humu umetuzidi urefu..!! 😹🤣
Unajua tukisema pesa ipo mnatuona vidampa tu bwashee 🤣🤣🤣🤣Naiona V8 boss..
Kwenye kupunga upepo 😂😂Nakuona nakuona afisaaa
Pozi km hilo na mzigo uwepo 😹😹
Hiyo uliyoweka nishaiona kitamboSafi bwashee , now napiga tizi kinouma , kwa sababu najua mimi mlevi tu🤣
Muhimu saaana mkuuu kupumzisha fuvu kidogoKwenye kupunga upepo 😂😂
Kesho ni siku nakuahidi nakupa tatu matataHiyo uliyoweka nishaiona kitambo
Hebu weka ingine
Na maji mengi, sauna pia muhimu uwe una detox maa moja moja sio mbaya..Safi bwashee , now napiga tizi kinouma , kwa sababu najua mimi mlevi tu🤣